[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtu anaua ndugu zake wote anamalizaa kabisaa mpaka wazaziHizo sample ni za Dar kupata demu wa kuinjoy nae bila huo usumbufu ni nadra sana asilimia kubwa ya mabinti wa dar ni wauzaji niliwahi kuwa na mmoja kwa wiki anaweza kukabwa hata mara tano hapo atakwambia mkoba na simu pamoja na hela wamechukua hivyo anaomba umpe hela na kiukweli ni fix tu ,lakini pia alikuwa na misiba yule dada sijapata ona hiyo yote umpe hela aende msibani *****.
[emoji23][emoji23][emoji23],Dah!!!,umetisha sana eti anakutumia Meseji kuwa Amekufa.Duh we jamaa unatuma hela mapema sana kabla hata ya kujuana na mtu duh, aisee we kiboko, madanga mengi mjini ndivyo yalivyo pesa mbele , usishangae hata siku moja akakutumia message kuwa amekufa wakati yeye ndio anakutumia ujumbe. Hawa viumbe ni shida sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona siku hizi wanaume ndio wanapenda kitonga? Na siku hizi hata aibu hawana kabisa shenzy kabisa nina hasira na wewe baba O and M.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo sample ni za Dar kupata demu wa kuinjoy nae bila huo usumbufu ni nadra sana asilimia kubwa ya mabinti wa dar ni wauzaji niliwahi kuwa na mmoja kwa wiki anaweza kukabwa hata mara tano hapo atakwambia mkoba na simu pamoja na hela wamechukua hivyo anaomba umpe hela na kiukweli ni fix tu ,lakini pia alikuwa na misiba yule dada sijapata ona hiyo yote umpe hela aende msibani *****.
duh yani kashakufa then anatuma message tenakwa hiyo akikutumia ujumbe amekufa anahitaji hela ya nini?
Demu wa insta, tinder, badooo, chanell za telegram wote awoo uliza location yake wewe Panda dau lakoo na wala hawachomoiKuna mmoja nilidata nae baada ya kuona picha zake Instagram,nikaona isiwe kesi nikazama dm kuomba namba,baada ya kuomba namba nikatumiwa kombora la Ukraine [emoji1255] la Elfu 20 kwa vile mimi ni mgiriki nikajiongeza nikamwambia wewe piga kabisa hesabu zote hadi za kuliwa mzigo nitumie invoice [emoji3477] kabisa Sipendi gharama nusu nusu [emoji851]invoice ikatumwa ni 150k nikaongea nae hadi mwisho pamoja na makato ikawa 80k,tatizo mnatongoza malaya badala ya kukubalia bei
mkuu toka 2019 ndo unafunguka leo?Habari ndugu zangu
Nakumbuka ilikuwa 2019 wakati natafuta mwanamke wakuingia nae kwenye mahusiano ya mapenzi, nilikutana na manzi mmoja kwenye daladala nikamuomba number ya simu akanipa nikawa nachart naye sana baada ya kupita kama wiki mbili nikaomba meet demu akakubali ila akaniomba nimpe hela ya nauli yakuja nikampa 5k
Baada ya muda mrefu kupita nikaona kimya sana nikampigia simu demu akaniomba msamaha akasema alipata ajali ya boda boda mguu wake ukapata jeraha akaniomba kama hautajali naomba hela ya matibabu bila hiyana nikampa 30k.
Nikampa gape ya wiki moja ili apone au apate haueni niombe meet nyingine demu akakubali akaniomba hela ya nauli nikampa 4k na kweli demu akaja, nilimuita kwenye bar mmoja hiv ya hapa dar
Binafsi niliagiza soda maana mimi sio mnywaji wa pombe yeye siku hiyo alipiga wisk 1 na Bavaria 5 me nikapiga soda 2 tukala nyama choma na ndizi pamoja na yote haya niweza kuangalia miguu yake sikuona hata kovu lolote nikajua kabisa nilipigwa.
Demu akuwa na haya wala haiba ya kike aikuishia hapo akaniomba nimsaidie kiasi fulani chakumsaidia sister wake ambaye yupo mahututi kutokana na ile hali nikaona hapa huyu sio mwanamke wakuwa kwenye mahusiano nilikuwa nawazo la kumtongoza ila nikaghailisha badala yake nikaona nitengeneze Mazingira ya kupiga game siku hiyo hiyo tofauti na hapo atanisumbua sana.
Hivi hawa wanawake Nani kawaroga alafu unakuta wanalalamika oh vijana hawaoi sijui nini ndio maana wanazalishwa na kuachwa kwasababu wengi wao hawana sifa ya kuolewa
Ila nashukuru Mungu mwaka Jana nikapata mwanamke wa ndoto yangu ambaye nipo naye mpaka leo
Demu wa insta, tinder, badooo, chanell za telegram wote awoo uliza location yake wewe Panda dau lakoo na wala hawachomoi
Kwani kuna shida gani?mkuu toka 2019 ndo unafunguka leo?
Kila siku ana misiba yeye? labda ana ukoo mkubwa! 😂 ila jamani kuna watu ni tatizo sana hivi unaomba hela kwa kusingizia misiba au ugonjwa hujisikii vibaya?Hizo sample ni za Dar kupata demu wa kuinjoy nae bila huo usumbufu ni nadra sana asilimia kubwa ya mabinti wa dar ni wauzaji niliwahi kuwa na mmoja kwa wiki anaweza kukabwa hata mara tano hapo atakwambia mkoba na simu pamoja na hela wamechukua hivyo anaomba umpe hela na kiukweli ni fix tu ,lakini pia alikuwa na misiba yule dada sijapata ona hiyo yote umpe hela aende msibani *****.
Tupo humu jfWako wapi mbona siwaoni
siku hizi hawaoni aibu wanaweza kukwambia mtumie hela sababu amekufaduh yani kashakufa then anatuma message tena
Nipo mrembo... makiwendo ni version ya nani maana umri unanitupa?Habari za kupotea Daby?
Hata huyo babo usimuamini mia ya miaupo sahihi na moja Kati ya wanawake hao ni huyu ambaye ninayeishi nae sasa hivi
Mkuu mbona jibu lako lina ukakasi ulitaka aende kwa wanaumeMapenzi bana. Umelalamikia mwanamke weeee,halafu mwishowe umerudi tena kwa mwanamke. Sa' ndio umefanya nini? 😂