Wanawake acheni njaa za kishamba

Wanawake acheni njaa za kishamba

Habari ndugu zangu

Nakumbuka ilikuwa 2019 wakati natafuta mwanamke wakuingia nae kwenye mahusiano ya mapenzi, nilikutana na manzi mmoja kwenye daladala nikamuomba number ya simu akanipa nikawa nachart naye sana baada ya kupita kama wiki mbili nikaomba meet demu akakubali ila akaniomba nimpe hela ya nauli yakuja nikampa 5k

Baada ya muda mrefu kupita nikaona kimya sana nikampigia simu demu akaniomba msamaha akasema alipata ajali ya boda boda mguu wake ukapata jeraha akaniomba kama hautajali naomba hela ya matibabu bila hiyana nikampa 30k.

Nikampa gape ya wiki moja ili apone au apate haueni niombe meet nyingine demu akakubali akaniomba hela ya nauli nikampa 4k na kweli demu akaja, nilimuita kwenye bar mmoja hiv ya hapa dar

Binafsi niliagiza soda maana mimi sio mnywaji wa pombe yeye siku hiyo alipiga wisk 1 na Bavaria 5 me nikapiga soda 2 tukala nyama choma na ndizi pamoja na yote haya niweza kuangalia miguu yake sikuona hata kovu lolote nikajua kabisa nilipigwa.

Demu akuwa na haya wala haiba ya kike aikuishia hapo akaniomba nimsaidie kiasi fulani chakumsaidia sister wake ambaye yupo mahututi kutokana na ile hali nikaona hapa huyu sio mwanamke wakuwa kwenye mahusiano nilikuwa nawazo la kumtongoza ila nikaghailisha badala yake nikaona nitengeneze Mazingira ya kupiga game siku hiyo hiyo tofauti na hapo atanisumbua sana.

Hivi hawa wanawake Nani kawaroga alafu unakuta wanalalamika oh vijana hawaoi sijui nini ndio maana wanazalishwa na kuachwa kwasababu wengi wao hawana sifa ya kuolewa

Ila nashukuru Mungu mwaka Jana nikapata mwanamke wa ndoto yangu ambaye nipo naye mpaka leo
True story huwa zinajenga sana
 
Nakushauri Tu jifunze kujua demu muuza mbususu, demu wakumtumia kama kipoozeo, demu wa kumuweka kkama mchepuko mkuu na demu wa kujenga naye maisha ukielewa hayoo wala hutateseka Malaya utamjua siku ya kwanza Tu kuonana naye, alafu anatokaje na demu ambaye hawezi kujilipia naulii? Upo serious kweli
Mimi siwezi kwakweli mwanamke mswahili kila kitu anaomba no way
Mapenzi ni kutoa always kama hatoi vyake hastahili kupokea vyako
 
Habari ndugu zangu

Nakumbuka ilikuwa 2019 wakati natafuta mwanamke wakuingia nae kwenye mahusiano ya mapenzi, nilikutana na manzi mmoja kwenye daladala nikamuomba number ya simu akanipa nikawa nachart naye sana baada ya kupita kama wiki mbili nikaomba meet demu akakubali ila akaniomba nimpe hela ya nauli yakuja nikampa 5k

Baada ya muda mrefu kupita nikaona kimya sana nikampigia simu demu akaniomba msamaha akasema alipata ajali ya boda boda mguu wake ukapata jeraha akaniomba kama hautajali naomba hela ya matibabu bila hiyana nikampa 30k.

Nikampa gape ya wiki moja ili apone au apate haueni niombe meet nyingine demu akakubali akaniomba hela ya nauli nikampa 4k na kweli demu akaja, nilimuita kwenye bar mmoja hiv ya hapa dar

Binafsi niliagiza soda maana mimi sio mnywaji wa pombe yeye siku hiyo alipiga wisk 1 na Bavaria 5 me nikapiga soda 2 tukala nyama choma na ndizi pamoja na yote haya niweza kuangalia miguu yake sikuona hata kovu lolote nikajua kabisa nilipigwa.

Demu akuwa na haya wala haiba ya kike aikuishia hapo akaniomba nimsaidie kiasi fulani chakumsaidia sister wake ambaye yupo mahututi kutokana na ile hali nikaona hapa huyu sio mwanamke wakuwa kwenye mahusiano nilikuwa nawazo la kumtongoza ila nikaghailisha badala yake nikaona nitengeneze Mazingira ya kupiga game siku hiyo hiyo tofauti na hapo atanisumbua sana.

Hivi hawa wanawake Nani kawaroga alafu unakuta wanalalamika oh vijana hawaoi sijui nini ndio maana wanazalishwa na kuachwa kwasababu wengi wao hawana sifa ya kuolewa

Ila nashukuru Mungu mwaka Jana nikapata mwanamke wa ndoto yangu ambaye nipo naye mpaka leo
Mademu wengi siku hizi hawajitambui, mtu anatoka kwao kijijini anakuja mjini kuomba na kudanga tu ili awatunze wazazi na ukoo wake huko kijijini. Unakuta wazazi hao hao ndiyo walikuwa bize kukataza watoto wao wasiende shuleni ila waende madrasat tu
 
Back
Top Bottom