Wanawake acheni roho mbaya

Wanawake acheni roho mbaya

Jbst

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,971
Reaction score
4,085
Kama mada inavojieleza, wanawake acheni roho mbaya.

Kama mtu haumuitaji tena na umemchoka kwann umsingizie mambo mabaya?nimesikia matukio mengi kuhusu wanawake kiukweli mmezidi roho mbaya.

Kuna jamaa yangu miaka miwili iliyopita sasa badae sjui ilikuwaje yeye na mkewe wakapishana na wakawa hawaelewani..familia zote mbili zikakaa chini na kuwaita ili kuwaweka sawa.

Cha ajabu zaidi yule mwanamke akasema eti chanzo cha ugomvi ni jamaa anataka kisamvu cha kopo[emoji15][emoji15] basi wanawake waliokuwa pale kwenye kikao kusikia vile wakalipuka uwiii.

Jamaa alishindwa kujieleza ili aweze kueleweka akaishia tu kulia kuomba amuandikie talaka waachane. Kiukweli nimemfikiria yule dada sijapata jibu! Kwanini amuaibishe mwenzake namna ile? Jamaa mpaka sasa hayupo sawa kabisa.

Ndio maana sitaki kuoa ni kujiongezea matatizo tu.
 
Kama mada inavojieleza, wanawake acheni roho mbaya.
Kama mtu haumuitaji tena na umemchoka kwann umsingizie mambo mabaya?nimesikia matukio mengi kuhusu wanawake kiukweli mmezidi roho mbaya.

Kuna jamaa yangu miaka miwili iliyopita sasa badae sjui ilikuwaje yeye na mkewe wakapishana na wakawa hawaelewani..familiar zote mbili zikakaa chini
Sasa wee ulitaka mke asiseme ukweli
 
Kama mada inavojieleza, wanawake acheni roho mbaya.
Kama mtu haumuitaji tena na umemchoka kwann umsingizie mambo mabaya?nimesikia matukio mengi kuhusu wanawake kiukweli mmezidi roho mbaya.

Kuna jamaa yangu miaka miwili iliyopita sasa badae sjui ilikuwaje yeye na mkewe wakapishana na wakawa hawaelewani..familiar zote mbili zikakaa chini

Ndiomana sitaki kuoa ni kujiongezea matatizo tu
Sijakuelewa, kwahiyo ulitaka aliwe kisamvu au atake kuliwa akae kimya
 
Hakuna adhabu mzuri dunian kama kumuonesha adui yako Bado unafuraha na hauna chukua nae pamoja na maumivu aliyokusababishia.

Mwambie jamaa apotezee tu afocus kwenye mambo ya kumjenga na kumpa furaha kama ni kweli alisingiziwa IPO siku huyo Dem atakuja kumpigia magoti Kwa huo ujinga aliomfanyia
 
Waahangiliaji wa kwenye hizi mechi za kirafiki huwa ni wawili (kwa ilivyozoeleka); inanipa wakati mgumu kukubaliana na ushawishi wa mtoa mada maana sina hajaelezea bila kuacha chembe ya shaka kuwa yeye sio mtuhumiwa!
 
Back
Top Bottom