Wanawake acheni tabia hizi haraka sana

Wanawake acheni tabia hizi haraka sana

Sina dawa ya meno jamani...nashindwa piga mswaki..natafuta mfadhili
 
Habari za mchana wanajamvi
Kwa muda sasa nimekuwa nikikerwa na baadhi ya tabia ambazo zinaonyeshwa na jinsia ya KE ambazo sio za kistaarabu kabisa.Moja ya tabia hizo ni
1.Wanawake wengi wanapenda kujichokonoa puani kwa vidole vya mkono ambako najua wengi mnafahamu ni sehemu ambayo inatunza uchafu mwingi.Utakuta mdada mzuri na ana shape nzuri lakini hiyo pua inachonolewa kila muda kwa vidole vya mkono yaani grrrrrrrrrrrrrrrrrrrr full uchafu halafu mnataka kutushika mikono

2.Wanawake wengi hawapigi mswaki,na akipiga haipiti dakika.Utamkuta mwanamke kapa mdomo wake lipstick vizuri lakin hayo meno machafu sana.Wanaume wenzangu fanyeni utafiti kwa hil kwa wapenzi wenu mtagundua.Wanawake wengi wanapenda urembo ila wanasahau suala la kupiga mswaki

NB.SIO KWAMBA WANAUME HAWANA TABIA HIZI,ILA KWA WANAWAKE ZIMEKITHIRI SANA.Badilikeni
Povu ruska
..

Daaah! Wadada wengi wavivu kupiga mswaki afu walivo wepesi kusogeza midomo, mnatuchomoa hewani hadi hamu inaisha. Unakuta Mdada mzuri harufu ya mdomon utakimbia
 
2.Wanawake wengi hawapigi mswaki,na akipiga haipiti dakika.
huu ni ukweli usiopingwa, na ni wengi hunuka midomo,
hawapigi mswaki vizuri, wakati ni moja ya sehem nyeti mno
mabinti wengi hunuka midomo
na unakuta binti mkali na mrembo mno ila ananuka domo
 
Back
Top Bottom