Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe ulimpaga namba yako kwa kusudi gani?Mi Kuna demu uwa ananiomba Hela kama ananidai
Sawa dadaYes,bro
Au kama wewe ndio shirika la chakula FAOMi Kuna demu uwa ananiomba Hela kama ananidai😀😀na meseji za njaa mara Kwa mara kama mimi ndo babake
Et matako yako...hamna mtu hapo [emoji3][emoji3]Bwana leo nikasema nmkumbuke ex Wang maana toto ni nzuri a.k.a la kwenda, basi nikachati nalo uko Facebook kwasabab namba yake nimefuta (namuheshimu ninae ishi nae,sijaoa), kweli bwana nafungua tu Facebook mtandao wake pendwa nikamkuta online tutakaanza kuchat.
Mwsho wa kuchat ukawa kama hvo Chin
Ndo alivoEt matako yako...hamna mtu hapo [emoji3][emoji3]
Halafu ikawaje?Mie niliwahi saidia mtu ila ndio hivyo akaona mwingine
Mwanaume uliekamilika kweli unaanzaje kumpa hela mwanamke 😂😂Bwana leo nikasema nmkumbuke ex Wang maana toto ni nzuri a.k.a la kwenda, basi nikachati nalo uko Facebook kwasabab namba yake nimefuta (namuheshimu ninae ishi nae,sijaoa), kweli bwana nafungua tu Facebook mtandao wake pendwa nikamkuta online tutakaanza kuchat.
Mwsho wa kuchat ukawa kama hvo Chin
Akaoa saivi wapo wanawatoto waoHalafu ikawaje?
Hajarudi tena kutafuta msaada wako?Akaoa saivi wapo wanawatoto wao
Hata penzi usimpe 😂Mimi saivi hela yangu iwe ndogo kubwa simpi mwanaume Nampa penzi TU nasepa
Wanini katafuta Kwa wengine wawili akajenga kanunua kiwanja akajenga saivi yupo kindaki ndaki na bibie mie saivi walahi sintompa mwanaume hela hata ya majiHajarudi tena kutafuta msaada wako?
Kasepa mwanza akuone wapi??Hata penzi usimpe 😂
Basi achana naye ila usimlaaniKasepa mwanza akuone wapi??
Alaaniwe Mimi sio mama yakeBasi achana naye ila usimlaani
Anaweza kulaanika ujue so mpotezee tu usimlaaniAlaaniwe Mimi sio mama yake
Wala atalaaniwa na Mungu Pekee iak siye tupo tunasonga mbeleAnaweza kulaanika ujue so mpotezee tu usimlaani