Wanawake acheni tamaa, mnajidhalilisha

Wanawake acheni tamaa, mnajidhalilisha

Bwana leo nikasema nmkumbuke ex Wang maana toto ni nzuri a.k.a la kwenda, basi nikachati nalo uko Facebook kwasabab namba yake nimefuta (namuheshimu ninae ishi nae,sijaoa), kweli bwana nafungua tu Facebook mtandao wake pendwa nikamkuta online tutakaanza kuchat.

Mwsho wa kuchat ukawa kama hvo Chin
Et matako yako...hamna mtu hapo [emoji3][emoji3]
 
Alikuwa anakufukuza tu hapo usijipe kichwa wal humuhimu
Wanawake bwana, logic zenu, tangu lini kumwomba mtu msaada wa hela ndo iwe njia ya kumfukuza, ipo siku utakwama kweli kipesa, halafu ukose mtu wa kukusaidia figo76
 
Bwana leo nikasema nmkumbuke ex Wang maana toto ni nzuri a.k.a la kwenda, basi nikachati nalo uko Facebook kwasabab namba yake nimefuta (namuheshimu ninae ishi nae,sijaoa), kweli bwana nafungua tu Facebook mtandao wake pendwa nikamkuta online tutakaanza kuchat.

Mwsho wa kuchat ukawa kama hvo Chin
Mwanaume uliekamilika kweli unaanzaje kumpa hela mwanamke 😂😂
 
Back
Top Bottom