Wanawake acheni.

Hayo mambo yanaskitisha sana...

Unawaita PM ili ukawachungulie...

Au unachukua sensa ni wangapi watakua wanafanya hayo mambo...


Cc: mahondaw
 
Naomba watu puvu linawatoka ety naita mtu pm up to now hakuna aliyekuja..ila ni vyema nendeni hospital mtapata huduma...
 
Zamani walikuwa wakitumia Limbwata kuwashika wanaume , sasa hivi kwa sababu ya competition wameamua kujiongeza, kwa kutoa ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…