Wanawake akili zao wanazijua wenyewe

Wanawake akili zao wanazijua wenyewe

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,051
Reaction score
12,954
Wanawake ukifikiria unashindwa kuelewa hawa watu akili zao zinafanyaje kazi, zinazunguka ant-clockwise ama nini?

Nilikua na mpenzi wangu, akawa ananichukulia poa, nikajua huyo ana mwanaume mwingine anaempa kiburi tu, sikujali sana, kapigwa mimba huko na mshikaji kakataa mimba, nashangaa akaanza kunitafta na kuniomba nimsamehe.

Nikashangaa, nikauliza imekuaje ikabidi aniambie ukweli, akawa analazimisha tuonane tuongee, nikaona isiwe shida, nikamkubalia, nikamsikiliza, kisha kwa hasira nikamtafuna, kesho yake nikaweka picha ya mpenzi wangu mpya kwenye whatsapp.

Ndugu yake ananipigia simu eti amezimia, nimsaidie mimba isije kutoka, nikamuuliza ndugu yake kwani hiyo mimba ni yangu? Wao wananiomba niwe nae karibu kumfariji maana mwenye mimba hapatikani wala hajulikani alipo.

Najiuliza hivi wanawake akili zao zinafikiriaje? Alipokua ananichukulia poa alijua siwezi kupata mwanamke mwingine? Watu wengine wapumbavu sana.
 
Wanawake akili zao cjui zpoje....kuna dem nlkuwaga nae...alikuwa ananchukulia poa balaa..!!ndugu zake pia nkiongea nao dharau kbao..

Nikaamua kujitoa...nkatafta maisha maana walileta dharau kwakuw ndo nlkuwa nmemaliza chuo na ajira sina

Juzi ndugu yake alipita maeneo nnayofanyia biashara alishangaa kuona biashara imekuwa kubwa mno

Na yule dem nae ameanza kutuma meseji...!!

Yan watu kama hawa hutakiw hata kuonana nao....acha past iwe past

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake akili zao cjui zpoje....kuna dem nlkuwaga nae...alikuwa ananchukulia poa balaa..!!ndugu zake pia nkiongea nao dharau kbao..

Nikaamua kujitoa...nkatafta maisha maana walileta dharau kwakuw ndo nlkuwa nmemaliza chuo na ajira sina

Juzi ndugu yake alipita maeneo nnayofanyia biashara alishangaa kuona biashara imekuwa kubwa mno

Na yule dem nae ameanza kutuma meseji...!!

Yan watu kama hawa hutakiw hata kuonana nao....acha past iwe past

Sent using Jamii Forums mobile app
Msijenge visasi vya mapenzi na wanawake...ndivyo walivyo.

Ukifuatilia hakuna cha maana tunachopata wanaume zaidi ya faraja na heshima kwao. Hata mkeo utakayekuja kimwoa ukimfuatilia tabia zake hutaoa.

Hawajaumbiwa shida...udambwiudambwi ndiyo sehemu zao...hivi vingine hawana namna tu.
 
Wanawake ukifikiria unashindwa kuelewa hawa watu akili zao zinafanyaje kazi, zinazunguka ant-clockwise ama nini?

Nilikua na mpenzi wangu, akawa ananichukulia poa, nikajua huyo ana mwanaume mwingine anaempa kiburi tu, sikujali sana, kapigwa mimba huko na mshikaji kakataa mimba, nashangaa akaanza kunitafta na kuniomba nimsamehe, nikashangaa, nikauliza imekuaje ikabidi aniambie ukweli, akawa analazimisha tuonane tuongee, nikaona isiwe shida, nikamkubalia, nikamsikiliza, kisha kwa hasira nikamtafuna, kesho yake nikaweka picha ya mpenzi wangu mpya kwenye whatsapp, ndugu yake ananipigia simu eti amezimia, nimsaidie mimba isije kutoka, nikamuuliza ndugu yake kwani hiyo mimba ni yangu? Wao wananiomba niwe nae karibu kumfariji maana mwenye mimba hapatikani wala hajulikani alipo.

Najiuliza hivi wanawake akili zao zinafikiriaje? Alipokua ananichukulia poa alijua siwezi kupata mwanamke mwingine?? Watu wengine wapumbavu sana.
Mwana umefanya vyema sana.... Yaani hawa ndio dawa yao. Ukiwachekea utalia wewe. Bravo mate.
 
Msijenge visasi vya mapenzi na wanawake...ndivyo walivyo.

Ukifuatilia hakuna cha maana tunachopata wanaume zaidi ya faraja na heshima kwao. Hata mkeo utakayekuja kimwoa ukimfuatilia tabia zake hutaoa.

Hawajaumbiwa shida...udambwiudambwi ndiyo sehemu zao...hivi vingine hawana namna tu.
Aiseeeeee, imebidi nitabasamu tu[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom