Wanawake ambao hawajaolewa huwa na hasira/frustration?

Wanawake ambao hawajaolewa huwa na hasira/frustration?

sioni thamani ya ndoa..

thamani ya ndoa ni kuheshimika kwa kutotongozwa hovyo..pia unakuwa na watoto wenye furaha kwa kuwa mama na baba wapo pa1. Cha mwisho, ukitaka kukunwa unakunwa anytime..
 
Back
Top Bottom