Wanawake ambao HAWAJATUMIKA: Vyuoni wapo wengi tu

Mkeshaji

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
4,258
Reaction score
1,416
Anayetaka kujua nimejuaje basi ani-PM lakini amini nawaambieni nimeshuhudia mwenyewe kwa "macho" yangu na si kuhadithiwa.
Ni kweli wapo tena wengi tu, mi mwenyewe sikuamini lakini ukweli ndo huo.
Hivyo wale wote ambao huwa wanawaghasi hawa wenzetu kwa mawazo ambayo ni kinyume na hiki nilichoshuhudia mimi, waache mara moja.

Nasisitiza wapo, wapo, wapo....., tena wengi tu. Ukiamua ku-search huwezi kosa. Cha muhimu ni kuepuka papara, kuwa na subira, nia njema, busara na nidhamu ya hali ya juu.

Note:
Nime-confirm mwenyewe kuwa sio "temporarily renewed".
 
Ni kweli wapo, hata mie nimeconfirm tena kwa wawili sehemu/vyuo tofauti. Hivyo nakubaliana nawe kabisa. Wengi wao kinachowasaidia mpaka kufika vyuo vikuu ni misimamo na mazingira yao wakati wa sekondari. Big up kwa waliojitunza.
 
Ni kweli wapo, hata mie nimeconfirm tena kwa wawili sehemu/vyuo tofauti. Hivyo nakubaliana nawe kabisa. Wengi wao kinachowasaidia mpaka kufika vyuo vikuu ni misimamo na mazingira yao wakati wa sekondari. Big up kwa waliojitunza.
Umeconfirm vp?
Yaani unathubutu kuuweka uchafu wako hapa ndani!
 
Ni kweli wapo, hata mie nimeconfirm tena kwa wawili sehemu/vyuo tofauti. Hivyo nakubaliana nawe kabisa. Wengi wao kinachowasaidia mpaka kufika vyuo vikuu ni misimamo na mazingira yao wakati wa sekondari. Big up kwa waliojitunza.

Katika vile vigezo nilivyoweka we umekiuka kile cha "Nia Njema".
 
Bwana Magamba we umeshawaharibia hao wawili unaosema,jitihada zote za kujitunza zimeishia kwako. Au ulijuaje/Confirm vipi???????????
 
Hizi lugha zingine zinadhalilisha wadada....

Lugha hizo hizo pia huwa zinatumika na madaktari wa MEWATA.....so nao huwa wanadhalilisha..?
Acha kueneza chuki zisizo na msingi.
 
Soo..tuna soko zuri tuu hapo kwa mswatii...nitaiambia wizara husika ikawatafutie ajira huko swaziland
 
wewe unayetest wasiotumika, mbona wewe unazidi kutumika tuu? kwa nini na wewe wa dada wasikukimbie wakasema umetumika sana? huyo unayemsifia tayari ushamharibu sasa akija mwingine atalalamika hajakuta sealed kumbe umetumia.
 
wewe unayetest wasiotumika, mbona wewe unazidi kutumika tuu? kwa nini na wewe wa dada wasikukimbie wakasema umetumika sana? huyo unayemsifia tayari ushamharibu sasa akija mwingine atalalamika hajakuta sealed kumbe umetumia.

Angalia kipengele cha nia njema:
Never tested before, and since then never ever tested otherwise.
 
Sasa umetest vipi? Sijakulewa.

Bahati mbaya utaalamu wangu kwenye ku-quote ni mdogo.
Ila nimeeleza vizuri kwenye post #1 hasa ule mstari wa kwanza maneno ya mwanzo mwanzo.
 
Ni kweli wapo, hata mie nimeconfirm tena kwa wawili sehemu/vyuo tofauti. Hivyo nakubaliana nawe kabisa. Wengi wao kinachowasaidia mpaka kufika vyuo vikuu ni misimamo na mazingira yao wakati wa sekondari. Big up kwa waliojitunza.

Kwa hiyo na wewe ulienda kudonyoa ili uconfirm au?
 
wanyaturu kwa kutafuta vi cheap populality
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…