Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Afisa wa Serikali afu n Gay, ajirahisishe hivyooo?? Kuna kitu hakiko sawaaa, mweeeeeh
 
Oyaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kumekuchaaaaaaaaaaaaa!!!! Watu na ndoa zao mjini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu cna hapa.
 
Kumekuchaaaaaaaaaaaa!!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nmecheka km chiziii. Woiiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mmoja huyo,,,anasema napenda uanaume ndo maana navaa hivi ,,Ila Mimi n mtoto wa kike tu kwako tafadhari nivumilie nitajitahidi kubadilika taratibu....!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe ulikuwa mabibo hostel mrembo, nlikuwa pale piaa

Anyway, kipindi nikiwa Udsm pia nlikuwa nakaa mabibo hostel. Ijumaa ratiba yangu ilikuwa Nina kipindi kimoja tu hivyo nilikuwa nakipuuza tu maana kilikuwa katikati ya siku sasa nikawa nakiona ni upuuzi tu.

sasa ijumaa moja majira ya saa kumi nikiwa nimetulia room, kutokana na uchovu wa kujilaza nikaamua kushuka chini kuchota maji maana juu hayakuwa yakitoka kwenye mabomba ya washroom na mabafuni Ili nije kuyatumia kujisaidia na kuoga kwa ajili ya mtoko kidogo. Siku hiyo nakumbuka asilimia kubwa ya watu hawakuwepo. Sasa baada ya kurudi nikaelekea moja kwa moja Ili nianzie uwani Kisha nimalizie bafuni. Joannah nadhani muundo wa majengo ya hostel sehemu za vyooni na mabafu unauelewa vyema, kunakuwa na vyoo viwili viwili na mabafu matatu pamoja na sehemu za kuswakia ambazo Zina vioo vya kujitazama. Sasa kwenye sehemu yetu, choo kimoja ndicho kilikuwa kinatumika, kile kingine hakikuwa kikitumiwa kwakuwa Bomba za vyoo vya floor za juu zinapita pale na zilikuwa zinavujisha maji kwahiyo ukiingia kujisaidia Yale matone ya maji yanakudondokea hivyo haijakaa poa.

Sasa nilipoenda uwani nikakuta mlango umefungwa, moja kwa moja nikajua kuna mtu. Ikabidi nisogee kwenye vile vioo vya kujitazama nikawa najikagua USO wangu huku nikisubiri aliyepo uwani atoke Ili niingie. Nilisubiri kwa muda huku nikisikia msuguano wa kandambili kwenye sakafu ikitokea mule uani, sikujali. Baada ya muda mlango ukafunguliwa akawa katoka jamaa tukakutanisha macho. Kwa mshtuko aliouonyesha nadhani ni kama hakutegemea kunikuta Pale huenda kutokana na ukimya uliokuwepo alidhani asingekuta mtu. Maswali niliyojiuliza haraka kichwani mwangu kwenye Ile moment ya mshangao, kwanini jamaa sijasikia akimwaga maji ilhali alikuwa akijisaidia? Kabla sijakaa sawa jamaa akaniambai mimsaidie Yale maji yangu, nikamwambia hayatonitosha sasa maana nataka kufanyia mambo mawili. Ikabidi ageuke kurudi mule chooni. Cha ajabu aliposukuma mlango ukaonekana umefungwa kwa ndani. Kajaribu kusukuma huku akisema fungua, lakini hapakufunguliwa. Ikabidi jamaa aondoke tu sasa.. Nikawaza au labda ni mafundi? Lakini hapana, inawezekanaje ilhali choo hakina changamoto yoyote? Nikajisemea ngoja nione. Muda ukapita yule jamaa hajarudi wala aliekuwa amebaki ndani hajatoka. Nikahisi labda atakuwa demu jamaa kavushia chooni ndio maana anaona aibu kutoka. Nikiwa kwenye wimbi la kutafakari, mlango ukafunguliwa bwana akatoka jamaa mwingine white halafu kalegea kweli. Aisee!!! nilishtuka kidogo nidondoke.. jamaa katoka huku kainamisha USO,,, sikuwahi kutegemea kama hayo mambo yapo aisee😂😂, mara zote mikoani nimekuwa nayaona ni kama hadithi za kutungwa tu.. niliogopa sana wakuu..

Baada ya jamaa kutoka ikabidi nikachungulie mule chooni, hapakuwa na dalili yoyote ya mtu kujisaidia kabisa ila palikuwa na lile karatasi la Condom limechanwa kumaanisha imetumika.. I can't lie, nlikuwa affected kisaikolojia karibuni wiki mzima kutokana na kile nilichokiona, sikuwahi kufikiri kuna watu wana ujasiri wa kufanyiana mambo ya hovyo kiasi kile.

Jioni jamaa zangu pale room tukiwa kwenye story wanasema wamekuta karatasi la Condom chooni sijui jamaa Gani alileta demu humo, Ina maana alishindwa kufanyia hata kwenye room yake.. nikawapa mkasa huo nilivyoushuhudia..
 
Ni-Pm jina lake nimtembelee nikasikilize anavyomotivate kwenye kurasa zake kama hutojali mkuu Joannah
 
Madame B! Kama Madame B!.....@#Madame B [emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji1787][emoji1787]
 
Aisee majamaa ulikuwa ukikutana nao baada ya tukioa hawakusema chochote au walihama hapo hostel???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…