Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Wanawake ni kundi lenye majukumu lukuki katika siku, pamoja na majukumu hayo usafi na urembo ni jambo muhimu pia.
Wanawake wengi wamekuwa wakizingatia zaidi nywele na uso huku wakiacha miguu na kucha zake vikibaki kwenye hali taaban,
Unakutana na mdada kasuka knotless kachora wanja wa lulu ila ukimtizama kucha za miguu zina weusi wa uchafu, kwa kweli inaharibu picha nzima ya urembo wake.
Wanawake tujitahidi kuikumbuka miguu yetu na kucha zake,tupake mafuta na kuiweka katika hali ya usafi hii inakamilisha maana nzima ya usafi na urembo.
Tips za kuweka miguu safi,
muda 30mnts
vifaa
beseni
maji ya vuguvugu
sabuni ya maji(shampoo)
nail cutter
nail file
msasa
kibrush cha kucha
chumvi ya mawe au asprin
mafuta ya maji
maandalizi
weka kwenye maji,aspirini au chumvi ya mawe na sabuni
kata kucha zako na kuzifile
loweka miguu yako kiasi 6-10mnts sugua kwenye visigino kwa kutumia msasa na kwenye kucha kwa kutumia brush
tumia nailfile kuondoa uchafu pembezoni mwa kucha .
ukiwa tayari kausha miguu yako na upake mafuta.
kwa wasiopenda rangi waweza kutia henna na kucha zako zikabakia na urembo wa asili.
karibuni kuongezea tips mbalimbali za utunzaji wa miguu..
.
Wanawake wengi wamekuwa wakizingatia zaidi nywele na uso huku wakiacha miguu na kucha zake vikibaki kwenye hali taaban,
Unakutana na mdada kasuka knotless kachora wanja wa lulu ila ukimtizama kucha za miguu zina weusi wa uchafu, kwa kweli inaharibu picha nzima ya urembo wake.
Wanawake tujitahidi kuikumbuka miguu yetu na kucha zake,tupake mafuta na kuiweka katika hali ya usafi hii inakamilisha maana nzima ya usafi na urembo.
Tips za kuweka miguu safi,
muda 30mnts
vifaa
beseni
maji ya vuguvugu
sabuni ya maji(shampoo)
nail cutter
nail file
msasa
kibrush cha kucha
chumvi ya mawe au asprin
mafuta ya maji
maandalizi
weka kwenye maji,aspirini au chumvi ya mawe na sabuni
kata kucha zako na kuzifile
loweka miguu yako kiasi 6-10mnts sugua kwenye visigino kwa kutumia msasa na kwenye kucha kwa kutumia brush
tumia nailfile kuondoa uchafu pembezoni mwa kucha .
ukiwa tayari kausha miguu yako na upake mafuta.
kwa wasiopenda rangi waweza kutia henna na kucha zako zikabakia na urembo wa asili.
karibuni kuongezea tips mbalimbali za utunzaji wa miguu..
.