Wanawake baada ya nywele tukumbuke na miguu pia

Wanawake baada ya nywele tukumbuke na miguu pia

Hornet

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
26,486
Reaction score
51,156
Wanawake ni kundi lenye majukumu lukuki katika siku, pamoja na majukumu hayo usafi na urembo ni jambo muhimu pia.

Wanawake wengi wamekuwa wakizingatia zaidi nywele na uso huku wakiacha miguu na kucha zake vikibaki kwenye hali taaban,

Unakutana na mdada kasuka knotless kachora wanja wa lulu ila ukimtizama kucha za miguu zina weusi wa uchafu, kwa kweli inaharibu picha nzima ya urembo wake.

Wanawake tujitahidi kuikumbuka miguu yetu na kucha zake,tupake mafuta na kuiweka katika hali ya usafi hii inakamilisha maana nzima ya usafi na urembo.

Tips za kuweka miguu safi,

muda 30mnts
vifaa
beseni
maji ya vuguvugu
sabuni ya maji(shampoo)
nail cutter
nail file
msasa
kibrush cha kucha
chumvi ya mawe au asprin
mafuta ya maji

maandalizi
weka kwenye maji,aspirini au chumvi ya mawe na sabuni

kata kucha zako na kuzifile

loweka miguu yako kiasi 6-10mnts sugua kwenye visigino kwa kutumia msasa na kwenye kucha kwa kutumia brush

tumia nailfile kuondoa uchafu pembezoni mwa kucha .

ukiwa tayari kausha miguu yako na upake mafuta.

kwa wasiopenda rangi waweza kutia henna na kucha zako zikabakia na urembo wa asili.

brush.jpg


karibuni kuongezea tips mbalimbali za utunzaji wa miguu..

.
kucha.jpg
mbayaa.jpg
mbayaa.jpg
 
Ex wangu alikuwa ananisafisha miguu hadi kucha....nimemmiss baada ya kuona huu uzi [emoji25][emoji25]

Alikuwa ananisafisha miguu vizuri,ananipaka mafuta akimaliza tunasex
Ilikuaje ukaachana na hilo gari la mshahara mkuu....au alishindwa kuisafisha papuchi vyema pia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa ilikuwaje mkaachana na ME kama huyu? Mie pamoja na kupenda kwangu lakini hili la kusafisha kucha na miguu za mrembo sijawahi kulifanya.
Ex wangu alikuwa ananisafisha miguu hadi kucha....nimemmiss baada ya kuona huu uzi 😪😪

Alikuwa ananisafisha miguu vizuri,ananipaka mafuta akimaliza tunasex
 
Huyo bidada picha ya mwisho miguu na kucha zake hazijali kabisa duh! 😳
Wanawake ni kundi lenye majukumu lukuki katika siku, pamoja na majukumu hayo usafi na urembo ni jambo muhimu pia.

Wanawake wengi wamekuwa wakizingatia zaidi nywele na uso huku wakiacha miguu na kucha zake vikibaki kwenye hali taaban,

Unakutana na mdada kasuka knotless kachora wanja wa lulu ila ukimtizama kucha za miguu zina weusi wa uchafu, kwa kweli inaharibu picha nzima ya urembo wake.

Wanawake tujitahidi kuikumbuka miguu yetu na kucha zake,tupake mafuta na kuiweka katika hali ya usafi hii inakamilisha maana nzima ya usafi na urembo.

Tips za kuweka miguu safi,

muda 30mnts
vifaa
beseni
maji ya vuguvugu
sabuni ya maji(shampoo)
nail cutter
nail file
msasa
kibrush cha kucha
chumvi ya mawe au asprin
mafuta ya maji

maandalizi
weka kwenye maji,aspirini au chumvi ya mawe na sabuni

kata kucha zako na kuzifile

loweka miguu yako kiasi 6-10mnts sugua kwenye visigino kwa kutumia msasa na kwenye kucha kwa kutumia brush

tumia nailfile kuondoa uchafu pembezoni mwa kucha .

ukiwa tayari kausha miguu yako na upake mafuta.

kwa wasiopenda rangi waweza kutia henna na kucha zako zikabakia na urembo wa asili.

View attachment 1739344

karibuni kuongezea tips mbalimbali za utunzaji wa miguu..

.View attachment 1739345View attachment 1739346View attachment 1739346
 
Back
Top Bottom