Wanawake baadhi wana mikosi ukikutana nao nyota yako ya hela inapotea

Inaweza kutokea labda upo neutral tu huna hzo baraka wala mikosi?

Kuna namna nyingi ya kudetect hzo baraka/mikosi ukiachana na kusex?
Nope, kila mtu anazo baraka zake.
Ina tegemea na sehemu au application yake Ina fanya kazi vipi.

Yap, ukiacha sex, Kuna ile kukutana na watu asubui.
Mwingine aki kutana na Mwanamke face to face.
Basi mambo lazima yadamsh.

Sawa sawa na mwanamke akutane na mwanaume asubui.
 
Sio lazima, ila mtu ana paswa aji tathimini ili kujua.
Au Kuna Ile kitu Wana ita chemistry ehh🤣, mkikutana, kufanya kazi, au hata story mambo lazima šŸ”„šŸ”„
Mhh ngoja niendelee kusoma comments mm bado sijaona athari ya haya mambo kwangu naona ninyandue nisinyandue nikutane nisikutane mambo mengi ni mule mule
 
Naomba kushiriki ktk mjadala huu

Haya mambo yapo, ktk ukanda huu waa mipaka inayopatikana mkoani kagera haya mambo yapo Sana hasa kwa wanawake wanaotoka ktk kabila la wanyarwanda waliokimbia vita.

Wanyarwanda wengi waliojikuta maeneo ya karagwe na Uganda hasa ile jamii ya wa tutsi wamejikuta na hii kadhia ya mikosi.
nitatoa Mikasa mmoja ambao ulitokea kwa marafiki wawili waliolala na Dada mmoja mwenye sifa ya mikosi.
Ilikua hivi: Kwanza kabisa huyo Dada ni mzuri Sana kwa muonekano kuanzia sura, height na shape, hakuna mwanaume rijali anaweza muona alafu asimtamani.

Jamaa wanafika mpaka kati ya Uganda na Tanzania anapoishi huyo bi Dada hawa mbali na kua marafiki lkn pia alikua mtu na boss wake.
Boss kuna ford (zero km) amegiza, chombo imefika dar Sasa inabidi iendeshwe hadi hapo mpakani walipo ili atakapovuka upande wa pili atumie chombo mpya, na kweli chombo ikafika wadau wanakula bia chombo ikapokelewa border.
Huyu mwingine yy yaani mwenzake na boss kuna mzigo anasubiria hapo mpakani ili uvuke uingie nchini lkn wakati huo mifumo bado haiko na nguvu kwa hiyo ni mwendo wa magendo.
Tukio likaanza huyu mwamba wakusubiria mzigo akaomba atafutiwe demu mkali na kwa gharama yoyote mtoto akaletwa jamaa wote udenda unawatoka hadi machawa,,, dalali kakabidhiwa 3m kwa ajili ya demu na yy kapewa miatatu yake kama dalali.
Kumbe bhana boss anaetakiwa kuvuka nae kampenda mtoto hapa ndo kila kitu kilipoharibika.
Hotel wamefikia moja wameenda kulala huyu mwenye demu kaingia room kwake na boss nae kaingia room kwake, majira ya kumi alfajiri anamwamsha boss wake kua anawahi kuona gari maana ameambiwa kuna shida japo walikua wameshavuka.

Baada ya kutoka room na boss kujiridhizisha kua mwamba ametoka, ikabidi na yy agonge kwa mtoto ili ajilie tunda kweli mtoto hakua na makuu akakubali kufungua na mwamba nae akala tunda, walikuja kusimuliana asubuhi na hawakuamini.

Huyu bwana mzigo aliokua anasubiria ulikua ni SPIRIT kwa ajili ya kwenda kutengenezwa pombe Kali gari imekula mzinga na tayari ipo mikononi mwa TRA kwa ajili ya penalty lkn pia hasara ya mzigo wote, huyu mwamba wa kuvuka yy alikula mzinga na gari lake jipya likiharibika vibaya Sana pasipo yy kupata hata jeraha, Sasa huyu wa spirit akamuuliza au nilivyotoka na wewe ulipiga mbona hizi ajali sio za kawaida jamaa akamwambia ndugu yangu nami nilipiga ulivyochomoka, huyo Dada aliogopwa kama ukoma na kuna matukio mengi ya watu waliotembea nae kukutwa na majanga ya kufirisika na hata kupoteza kazi.


sio huyo tuu wapo wengi Sana ila kwa leo naomba niishie hapo.
 

Mwanamke yeyote anayegongwa na zaidi ya mmoja automatically anakua na mikosi.
 
Mwaka 2012-15 nilikuwa vyema kiuchumi mpaka nilipolala na dada mmoja aliyekuwa akiuza uji nje ya duka langu ndipo mambo yakaharibiki kwa harakaharaka kama vile sio mimi yule wa siku zote.

Kwanza kesho yake tu nilikoswa na ajali kubwa alafu wiki ileile wakavinja dukani kwangu wakaiba kila kitu hadi panga lililokuwa nyuma ya friji.

Sio muumini wa haya mambo ila nabaki najiuliza tu au inawezekana kuna watu wenye mikosi kweli?
 
Summary:

Negativity towards women's
Inferiority complex
Depression
Fear
Paranoia
Insomnia
Mental health issues
Too much emotionality

Reference:- Trust Me Bro
Mwenzako kafanya practical kuchovya chovya kapata matokeo.

Sasa wewe unapingana naye huku umejituliza kama kasuku nyuma ya keyboard.

Emb tanga na njia uone mabalaa yatayokukumba halafu uje urejee jukwaani kutuweka sawa.

Wanaoshuhudia hayo usidhani wana mapungufu ya akili ama wana sonona.

Dunia hii baba imejaa mambo yaliyoficha kuliko yanayoonekana kwa macho ya nyama.
 
Mwanamke yeyote anayegongwa na zaidi ya mmoja automatically anakua na mikosi.
Hii ni kweli mkuu.
Kwenye ndoa mwanamke akishaanza kutoka nje hapo tegemea mfarakano wa na umasikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…