Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hv inaweza ikatokea mwanaume akawa na hicho kismart ko akimpiga miti manzi huyo manzi mambo yake yanaenda vizuri?IPO mzee, wengine Wana kismati, wengine ndo kibarutiš¤.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv inaweza ikatokea mwanaume akawa na hicho kismart ko akimpiga miti manzi huyo manzi mambo yake yanaenda vizuri?IPO mzee, wengine Wana kismati, wengine ndo kibarutiš¤.
Yap IPO kwa wote, hapo men ana + Dem -.Hv inaweza ikatokea mwanaume akawa na hicho kismart ko akimpiga miti manzi huyo manzi mambo yake yanaenda vizuri?
Inaweza kutokea labda upo neutral tu huna hzo baraka wala mikosi?Yap IPO kwa wote, hapo men ana + Dem -.
Sasa hapo anae faidika ni Dem, Jamaa ana beba minuksi, Afu ye ana uza baraka.
Nope, kila mtu anazo baraka zake.Inaweza kutokea labda upo neutral tu huna hzo baraka wala mikosi?
Kuna namna nyingi ya kudetect hzo baraka/mikosi ukiachana na kusex?
Lazima iwe opposite sex?š¤£vp kwenye magereza na shule za single sex?Mwingine aki kutana na Mwanamke face to face.
Basi mambo lazima yadamsh.
Na ukimpiga chini anaondoka na risiki zote hapa ndio patamu zaidiIla kuna wanawake ukiwa nao mambo yanakua mnyooko hadi raha aisee... Usije omba ukayatimba utajuta.
Hii unaweza jua ni theory ila ni reality
Sio lazima, ila mtu ana paswa aji tathimini ili kujua.Lazima iwe opposite sex?š¤£vp kwenye magereza na shule za single sex?
Mhh ngoja niendelee kusoma comments mm bado sijaona athari ya haya mambo kwangu naona ninyandue nisinyandue nikutane nisikutane mambo mengi ni mule muleSio lazima, ila mtu ana paswa aji tathimini ili kujua.
Au Kuna Ile kitu Wana ita chemistry ehhš¤£, mkikutana, kufanya kazi, au hata story mambo lazima š„š„
Kaka Sasa hayo mambo mulemule, hebu acha uone faida zake.Mhh ngoja niendelee kusoma comments mm bado sijaona athari ya haya mambo kwangu naona ninyandue nisinyandue nikutane nisikutane mambo mengi ni mule mule
Wana Jf..
Nakumbuka miaka ya 2012-2016 nilikua na upepo mkali sana wa hela, yani kama ni hela nilichezea sana ingali bado kijana mdogo sana na mademu nilikua na wafungia vioo ni mimi mwenyewe mwenyewe polepole tuu akili yote kwenye hela sikutaka kabisa stress za mademu japo hela nilikua nayo ya kutosha sana kuwapanga foleni ila sikutaka kabisa
Nakumbuka mademu zangu walikua ni nyagi, hela, na wine za kila aina. Nikitoka mishe napitia bar na lewa weee na kurudi gheto kuegesha fuvu, siku nisipo pita bar napita kijiwe cha kahawa nacheza draft kidogo na masela then gheto kukazia na movie na ma-game mpaka night kali sana
Sasa mwaka 2017 akajitokeza mwanamke mmoja sijui alitokea wapi nikajikuta na mtongoza akawa mpenzi wangu wakuu tokea hapo nikaanza kuumwa umwa hovyo hovyo na kulazwa pasipo kuonekana ugonjwa wowote ila ni kuswet mpaka na konda na kukonda
Nilikaza fuvu hivyo hivyo kuwa nae nikaanza kukosa madili ya hela, dili zangu za kusafirisha nguruwe kwenda dar zikagonga mwamba na kuhamia kwenye kununua dhahabu na kuuza ila nako zikawa zina sua sua, nikawa naona hapa mambo hayajakaa sawa kama na chezewa vile, baadae masela wakanambia nikachek nyota nikagoma ila tuu na waeleza na mashaka na huyu mpenzi wangu mbona kabla sijawa nae sikua hivi nikaja kumpiga chini huyu demu.
Baada ya kumpiga chini nikasema na dhahabu na piga chini biashara hii itanitoa roho, nikahamia kwenye kununua ndizi na kupeleka dar fuso kwa fuso, then na viazi na toa huko napeleka dar, huku nikaweka wakala wa mayai dodoma. Fuso ikitoka kupeleka ndizi dar inapitia dom kushusha trei za mayai za kutosha. Mimi nilikua silali ni mimi na barabara tuu , mzee wangu alikua mjeda vyeo vya juu sana ( majina kapuni) hivyo nilitembelea pia cheo chake maana alikua anajuana na wakuu wengi sana.
Ndugu nikaja okota demu mwingine 2019 yani hapa ndiyo nikaharibu kabisa kabisa..
Ndugu mpaka sasa ni mimi na wanawake ,pombe na mishe za hela naona zinasua sua sana ila nakaza hivyo hivyo japo kiukweli kuna muda na fikiria kabisa kama siyo kujiingiza kwa mademu nisinge tetereka ni mara mia ningetafuta demu mmoja nioe badala ya kupuyanga puyanga.
Nimejionea mwenyewe wanawake baadhi wanamikosi na ukikojoa ndani ndiyo una haribu kabisa kabisa.
Sasa kazeni mafuvu.
Hapa mkuu umemuweka vizuri ingawa haujamuelewesha kwa kirefu.Ngono sio tu tendo la kimwili Bali na kiroho pia.
Wapo Wana upepo mzuri na wengine ndo mabalaa wanayo.
Sio kila kikombe Cha kunywea maji, Eti kisa tu una kiu mzee.
Mwenzako kafanya practical kuchovya chovya kapata matokeo.Summary:
Negativity towards women's
Inferiority complex
Depression
Fear
Paranoia
Insomnia
Mental health issues
Too much emotionality
Reference:- Trust Me Bro
Hii ni kweli mkuu.Mwanamke yeyote anayegongwa na zaidi ya mmoja automatically anakua na mikosi.