Wanawake baadhi wana mikosi ukikutana nao nyota yako ya hela inapotea

Wanawake baadhi wana mikosi ukikutana nao nyota yako ya hela inapotea

2005-2010 JAKAYA M. KIKWETE
2010-2015 JAKAYA M. KIKWETE
2015/2016-2000 JOHN P. MAGUFULI
2021-->>> SAMIA SULUHU HASSAN


Jibu la matatizo yako lipo hapo na SI Imani za kishirikina. Sera za uchumi na maamuzi ya kiuchumi ya viongozi unaowapigia kura huwa na athari za Moja kwa Moja au vinginevyo kwenye maisha yako.
 
{B5747286-E555-46DD-B90C-FC72CA628BB8}.png.jpg
 
Sina uelewa sana wa hayo mambo ila Kuna manzi Moja ya kimeru alinambia yy akidate na mtu lazima huyo mtu afanikiwe na akifanikiwa yy anapigwa chini.....akadate na jamaa Moja kama zali Jamaa akanunua kiwanja kina mjengo haujamilika akafanya finishing Baada ya mda akampiga chini manzi
 
Sina uelewa sana wa hayo mambo ila Kuna manzi Moja ya kimeru aliambia yy akidate na mtu lazima huyo mtu afanikiwe na akifanikiwa yy anapigwa chini.....akadate na jamaa Moja kama zali Jamaa akanunua kiwanja kina mjengo haujamilika akafanya finish Baada ya mda akampiga chini manzi
IPO mzee, wengine Wana kismati, wengine ndo kibaruti🤓.
 
Wana Jf..

Nakumbuka miaka ya 2012-2016 nilikua na upepo mkali sana wa hela, yani kama ni hela nilichezea sana ingali bado kijana mdogo sana na mademu nilikua na wafungia vioo ni mimi mwenyewe mwenyewe polepole tuu akili yote kwenye hela sikutaka kabisa stress za mademu japo hela nilikua nayo ya kutosha sana kuwapanga foleni ila sikutaka kabisa

Nakumbuka mademu zangu walikua ni nyagi, hela, na wine za kila aina. Nikitoka mishe napitia bar na lewa weee na kurudi gheto kuegesha fuvu, siku nisipo pita bar napita kijiwe cha kahawa nacheza draft kidogo na masela then gheto kukazia na movie na ma-game mpaka night kali sana

Sasa mwaka 2017 akajitokeza mwanamke mmoja sijui alitokea wapi nikajikuta na mtongoza akawa mpenzi wangu wakuu tokea hapo nikaanza kuumwa umwa hovyo hovyo na kulazwa pasipo kuonekana ugonjwa wowote ila ni kuswet mpaka na konda na kukonda

Nilikaza fuvu hivyo hivyo kuwa nae nikaanza kukosa madili ya hela, dili zangu za kusafirisha nguruwe kwenda dar zikagonga mwamba na kuhamia kwenye kununua dhahabu na kuuza ila nako zikawa zina sua sua, nikawa naona hapa mambo hayajakaa sawa kama na chezewa vile, baadae masela wakanambia nikachek nyota nikagoma ila tuu na waeleza na mashaka na huyu mpenzi wangu mbona kabla sijawa nae sikua hivi nikaja kumpiga chini huyu demu.

Baada ya kumpiga chini nikasema na dhahabu na piga chini biashara hii itanitoa roho, nikahamia kwenye kununua ndizi na kupeleka dar fuso kwa fuso, then na viazi na toa huko napeleka dar, huku nikaweka wakala wa mayai dodoma. Fuso ikitoka kupeleka ndizi dar inapitia dom kushusha trei za mayai za kutosha. Mimi nilikua silali ni mimi na barabara tuu , mzee wangu alikua mjeda vyeo vya juu sana ( majina kapuni) hivyo nilitembelea pia cheo chake maana alikua anajuana na wakuu wengi sana.

Ndugu nikaja okota demu mwingine 2019 yani hapa ndiyo nikaharibu kabisa kabisa..

Ndugu mpaka sasa ni mimi na wanawake ,pombe na mishe za hela naona zinasua sua sana ila nakaza hivyo hivyo japo kiukweli kuna muda na fikiria kabisa kama siyo kujiingiza kwa mademu nisinge tetereka ni mara mia ningetafuta demu mmoja nioe badala ya kupuyanga puyanga.

Nimejionea mwenyewe wanawake baadhi wanamikosi na ukikojoa ndani ndiyo una haribu kabisa kabisa.

Sasa kazeni mafuvu.
Kuna ukweli hapa Dah I'm finished
 
Back
Top Bottom