KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
I love women..!
Wanawake ni sehemu kubwa ya jamii yetu,ni mama zetu,dada zetu n.k, lakini kwa hili la kukaa vibalazani na kupiga umbea no no no i don't like it!
Kuna vitu vingi vya kufanya ni muda wa kubadilika sasa,chukua kitabu chako chenye maarifa kedekede soma,umiza kichwa chako kuitunza familia yako.
Waza nini ufanye..?
Poteza udhaifu ktk familia yako.
Me nashangaa unakuta wanawake wamekaa wakipiga soga lkn hakuna la kuelimishana hata moja..!
Siwatukani,but let me speak you can get something...
Fikiri,fikiri,fikiri... Usiache lipite jua unaumuhimu mkubwa ktk jamii mawazo yako yanahitajika...
Kipi kinakusaidia kujaji fulani kavaa nini..?
Kumbuka viongozi,matajiri,madaktari,rubani,genius n.k wote hawa wanatoka kwenu! Weledi wa mama ni furaha kwa familia..
Stop stop.... Stop it makes you to go down.
I LOVE WOMEN.
Wanawake ni sehemu kubwa ya jamii yetu,ni mama zetu,dada zetu n.k, lakini kwa hili la kukaa vibalazani na kupiga umbea no no no i don't like it!
Kuna vitu vingi vya kufanya ni muda wa kubadilika sasa,chukua kitabu chako chenye maarifa kedekede soma,umiza kichwa chako kuitunza familia yako.
Waza nini ufanye..?
Poteza udhaifu ktk familia yako.
Me nashangaa unakuta wanawake wamekaa wakipiga soga lkn hakuna la kuelimishana hata moja..!
Siwatukani,but let me speak you can get something...
Fikiri,fikiri,fikiri... Usiache lipite jua unaumuhimu mkubwa ktk jamii mawazo yako yanahitajika...
Kipi kinakusaidia kujaji fulani kavaa nini..?
Kumbuka viongozi,matajiri,madaktari,rubani,genius n.k wote hawa wanatoka kwenu! Weledi wa mama ni furaha kwa familia..
Stop stop.... Stop it makes you to go down.
I LOVE WOMEN.