Wanawake bhana, mtoto akinyonya wanakuwa wametulia, shida akinyonya baba sasa

Wanawake bhana, mtoto akinyonya wanakuwa wametulia, shida akinyonya baba sasa

Nilipata tabu Sana kujifunza kunyonyesha mtoto....dahh
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Duh! kuna mdau aliwahi kusema na namnukuu"wanaume muwe na tabia ya kuwanyonya wake zenu matiti kwa kufanya hivyo mtawapunguzia uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya matiti"
 
😂😂😂😂😂😂😂

Hata mtoto anatekenya, tena kuna wakati anang’ata kabisa.
Ila feelings haziwezi kuamka kama baba akinyonya.
Ongeza sauti kidogo ili waliokaa nyuma nao wasikie 😊😊😊
 
Nimekumbuka scenario moja msichana 19 alijifungua ikafika muda wa kumnyonyesha mtoto Ile colostrum mama anachekaa anapiga kelele mpaka nikaskia naenda pale naona anatoka machozi anatekenywa na neonate
 
Kabisaaa...
Tofauti ni kubwabwa sanaaaaa.. ikija hisia za kunyonywa na mwanaumwe mwenye uumwe unasubiriwa ukiungiegege.. unalouwa.. na kuyamwagwa.. hata kazi haijawanza..
Shida ni sim yangu au kitu gani? Hii ni lugha gani!!!????
 
Back
Top Bottom