Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
Yaani hamueleweki ..
Ndo maana mtu anaona bora akutongoze tu na ukaribu ufe..
Kuliko kuanza kuwaambia wanawake wenzio..''aha kwani yule mwanaume basi ..hamna kitu pale "
Kumbe mwenzio hajakutongoza kaamua kukupuuza tu..
Wanaosema hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume wako sahihi..
Ukiwa nae karibu tabu, usipomtongoza tabu.
Ndo maana mtu anaona bora akutongoze tu na ukaribu ufe..
Kuliko kuanza kuwaambia wanawake wenzio..''aha kwani yule mwanaume basi ..hamna kitu pale "
Kumbe mwenzio hajakutongoza kaamua kukupuuza tu..
Wanaosema hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume wako sahihi..
Ukiwa nae karibu tabu, usipomtongoza tabu.