Wanawake bhana! ukiwa nae karibu usipomtongoza anaanza kukudharau kukutangazia wewe ni hanithi , Ukimtongoza basi na urafiki ndo unakufa mazima

Wanawake bhana! ukiwa nae karibu usipomtongoza anaanza kukudharau kukutangazia wewe ni hanithi , Ukimtongoza basi na urafiki ndo unakufa mazima

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2016
Posts
4,208
Reaction score
14,143
Yaani hamueleweki ..

Ndo maana mtu anaona bora akutongoze tu na ukaribu ufe..

Kuliko kuanza kuwaambia wanawake wenzio..''aha kwani yule mwanaume basi ..hamna kitu pale "

Kumbe mwenzio hajakutongoza kaamua kukupuuza tu..

Wanaosema hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume wako sahihi..

Ukiwa nae karibu tabu, usipomtongoza tabu.
 
Yaani hamueleweki ..

Ndo maana mtu anaona bora akutongoze tu na ukaribu ufe..

Kuliko kuanza kuwaambia wanawake wenzio..''aha kwani yule mwanaume basi ..hamna kitu pale "

Kumbe mwenzio hajakutongoza kaamua kukupuuza tu..

Wanaosema hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume wako sahihi..

Ukiwa nae karibu tabu, usipomtongoza tabu.
Mwanga Lutila wewe si ulioa mwaka wa juzi kati,? Vipi Tena unatamani vya wengine?
 
Yaani hamueleweki ..

Ndo maana mtu anaona bora akutongoze tu na ukaribu ufe..

Kuliko kuanza kuwaambia wanawake wenzio..''aha kwani yule mwanaume basi ..hamna kitu pale "

Kumbe mwenzio hajakutongoza kaamua kukupuuza tu..

Wanaosema hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume wako sahihi..

Ukiwa nae karibu tabu, usipomtongoza tabu.
Siku nyingine mje na uzi wa kutupongeza kwa mazuri yetu.
 
Yaani hamueleweki ..

Ndo maana mtu anaona bora akutongoze tu na ukaribu ufe..

Kuliko kuanza kuwaambia wanawake wenzio..''aha kwani yule mwanaume basi ..hamna kitu pale "

Kumbe mwenzio hajakutongoza kaamua kukupuuza tu..

Wanaosema hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume wako sahihi..

Ukiwa nae karibu tabu, usipomtongoza tabu.
wanawake wa wapi hao ambao ukiwatongoza wanakununia, wanawake wa nyakati hizi ukichelewa kutongoza anakutongoza yeye. Mimi nilishaambiwa naomba nizae na wewe na mtu anajua nimeoa na sio tu kujua na mke naye anamfahamu
 
Back
Top Bottom