Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila baya sisi Jamani tumechokaaYaani haya mafurushi eti hatuna mema kwao kabisa, kila siku kutunanga🙆♀️
Ebu njoo Reef one...😋Nabadili nguo nikukute platinum.😂😂
Utakuwa hanithi wa roho😂Yaani hamueleweki ..
Ndo maana mtu anaona bora akutongoze tu na ukaribu ufe..
Kuliko kuanza kuwaambia wanawake wenzio..''aha kwani yule mwanaume basi ..hamna kitu pale "
Kumbe mwenzio hajakutongoza kaamua kukupuuza tu..
Wanaosema hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume wako sahihi..
Ukiwa nae karibu tabu, usipomtongoza tabu.
Kwanini umkatalie mkaka wa watu sasa kuwa na huruma ametanguliza bebi kabisaTatiza hata wanaume wenyewe hamtabiliki kuna jamaa tulikuwa tumezoeana sana akija kazini kwetu utani mwingi ananiita baby nami namwitikia nikijua ni utani tu. sasa jamaa kaamua kunitongoza kwanza alijaribu kuwa karibu na mwanangu akijua mimi single mom sasa nilivyomkataa jamaa kaninunia mimi, wafanyakazi wenzangu mpaka mtoto.
sio kila anaekuja kwako unakubali unaweza kuta unabeba yasiyobebeka.Kwanini umkatalie mkaka wa watu sasa kuwa na huruma ametanguliza bebi kabisa
sio vizuri lakini, si alikuwa rafiki yakosio kila anaekuja kwako unakubali unaweza kuta unabeba yasiyobebeka.
Duh utakuwa ulikula vyake vingi akijua utamkubaliTatiza hata wanaume wenyewe hamtabiliki kuna jamaa tulikuwa tumezoeana sana akija kazini kwetu utani mwingi ananiita baby nami namwitikia nikijua ni utani tu. sasa jamaa kaamua kunitongoza kwanza alijaribu kuwa karibu na mwanangu akijua mimi single mom sasa nilivyomkataa jamaa kaninunia mimi, wafanyakazi wenzangu mpaka mtoto.
sijala hata sema katoto kangu ndo kalikuwa kanafaidi vizawadi vya hapa na paleDuh utakuwa ulikula vyake vingi akijua utamkubali
Unatumia kinywaji gani?Sasa na wewe unakuaje na urafiki na mwanamke bila kumtongoza? Ni dada yako?
Mwanaume hata ukiona mti na matawi yake umevalishwa sketi utongoze
PepsiUnatumia kinywaji gani?
Nijibu basHili swali hapa Lucha 😜
BadoNijibu bas
Nielekeze ulipo nianze safari ya kupanda milima yote niogelee bahari zote nije nikueleze ni jinsi gani umeuteka moyo wanguBado
Maneno yenu hayo 😅😅mnakuja kuwaacha watu Single Mother 😜😜😜Nielekeze ulipo nianze safari ya kupanda milima yote niogelee bahari zote nije nikueleze ni jinsi gani umeuteka moyo wangu