Sio budget Kali,Bali ni hiyo tariff tanesco walivyoweka .Nikikosea matumizi,umeme ambao ningenunua kwa 9,500/- nitanunua kwa elfu 30.Na hapa kijijini tuko kwa muda.Huyo mtunzaji wa hii nyumba tukiondoka yeye anawasha taa tu.Sasa huoni kwamba tutakuwa tumevuruga mfumo mzima wa matumizi ya umeme kwa uzembe.Mkuu mama SabrinaInaonekana una bajeti kali sana unamuambia kila saa sasa nadhani hapendi,jaribu kuwa unaongea mara moja tu na usifatilie sana mambo ya jikoni unamkwaza ,we uliweka jiko la umeme la nini humo ndani [emoji23][emoji23],unaonekana mpanga bajeti sana na mkeo mbishiii [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu Ziloi ndio nilichokiamua!Ishi kama vile hujui kitu. Chochote kula na usionyeshe kukereka wallah wiki moja tu atafanya kama utakavyo. Sometimes anahitaji uonge apate cha kukujibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukijua kusoma CODE utakuwa umeshajua mi ni mtu wa namna gani.....Ndio hivyo mkuu Apeface!
Ila hiyo avatar yako,APEFACE kiboko😀😀😀
Nimekuelewa mkuu.Ila Jiko la maranda ya mbao ni zuri sana halafu halina gharama,Ila linatumika kwa vitu vinavyoiva kwa muda mrefu,halitoi moshi.Ukiwasha SAA 12 aubuhi mpaka SAA 6 mchana linawaka na moto mkali,anajua kulitumia Ila Leo kaamua tu kufanya vitimbi!Nikiwa mdogo nilikuwa namwona dingi ni mnoko, anamaindi vitu vidogo, mfano akikuta maji kwenye bomba yamemwagika sana anamaindi, mkaa ukitumika halafu ukaachwa ukiwa bado mwingi kuelekea majivu anamind, akikuta kuna taa haijazimwa anamaindi.
Ukipikwa ugali mkubwa ambao hatuwezi kuumaliza anamaindi, yaani dah.
Siku hizi najiona nimeshakuwa kama yeye, ndo ninaelewa kwa nini alikuwa anamind.
Mkuu nenda naye taratibu ataelewa tu, ila kama anaona ni rahisi kwake kutumia kuni mkaushie, akichoka atajirudi, fanya kama huelewi.
Kwa usawa huu wa Magu la gesi linatakiwa kuwa la maonyesho tu.
Nimekuelewa mkuu.Ila Jiko la maranda ya mbao ni zuri sana halafu halina gharama,Ila linatumika kwa vitu vinavyoiva kwa muda mrefu,halitoi moshi.Ukiwasha SAA 12 aubuhi mpaka SAA 6 mchana linawaka na moto mkali,anajua kulitumia Ila Leo kaamua tu kufanya vitimbi!
Dingi alikuwa anahakikisha matumizi ya unga wa ugali yanatumiwa ipasavyo....bora vyote viishe lakini sio unga wa ugali.....
Ukipikwa ugali mkubwa ambao hatuwezi kuumaliza anamaindi, yaani dah.
Dingi alikuwa anahakikisha matumizi ya unga wa ugali yanatumiwa ipasavyo....bora vyote viishe lakini sio unga wa ugali....
Mimi ndio nimeunganisha hilo jiko la umeme kurahisisha mambo lakini kwa masharti hayo niliyompa.Manake halikuwa na plug,kwa hiyo nimechomeka wire moja kwa moja kwenye socket!Piga kimya, ukifika nyumbani tafuta jinsi ya kufanya disconnection ya umeme kuelekea kwenye jiko bila yeye kujua. Hakikisha halifanyi kazi, maana kitakachofata ni yeye kulitumia ukiwa haupo kama kukomoa.
Mambo mengine yaache yaendelee hivyo hivyo. Akichoka kupikia kuni atatafuta urahisi.
Kitu muhimu jiko la umeme ulifanyie uharibifu kimya kimya. Nazijua akili zao hawa watu, ataliwasha ukiwa haupo.
Huku ni kijijini mkuu hayo majiko mengine ni kawaida kutumika.Kwa taarifa yako jiko la maranda ya mbao ni bora kuliko jiko la mkaa.Tena matumizi yake yanahifadhi mazingira,hata serikali inapromote matumizi yake sana tu,kwa ajili ya kuhifadhi mazingira,kupunguza kukata miti kwa ajili ya mkaa!Duuhh jiko zote za nini kaka...hapo ni kumnyanyasa mke kisaikilojia...
Kama kuna la umeme..la gesi la mkaa..hayo mengine ya nini..
Mi nadhani tatzo lipo kwako
Sent using Xiom X
Mkuu naomba picha ya hilo jiko la maranda na yanavyokuwa... sijawahi kuona.Nimekuelewa mkuu.Ila Jiko la maranda ya mbao ni zuri sana halafu halina gharama,Ila linatumika kwa vitu vinavyoiva kwa muda mrefu,halitoi moshi.Ukiwasha SAA 12 aubuhi mpaka SAA 6 mchana linawaka na moto mkali,anajua kulitumia Ila Leo kaamua tu kufanya vitimbi!
Mimi ndio nimeunganisha hilo jiko la umeme kurahisisha mambo lakini kwa masharti hayo niliyompa.Manake halikuwa na plug,kwa hiyo nimechomeka wire moja kwa moja kwenye socket!
Asante kwa maarifa mapya mkuu Pr cure.chakula ukipika kwenye gesi kinakuwa kibaya balaa, kupikia kwenye kuni chakula kinakuwa na radha flani hivi, hata ukichemsha maji kwenye mkaa au kuni yanakuwa na radha dhuriiw
Sema umwambie afunike chungu then akokelee mtoto vizury
Sent using Jamii Forums mobile app