Sijafuatilia mambo ya jikoni Bali nafuatilia matumizi ya umeme kwa ujumla ambako ,jiko la umeme nalo limehusika mkuu mama K.Mwanaume ukifuatilia vitu vidogo vidogo ndio matokeo yake. Mleta mada usije ukawa unahesabu hadi nyama jikoni.
Asante Yna2,Longevity/maisha marefu ni mojawapo ya baraka za Mungu,ukimtumikia Mungu aliye hai ataziongeza siku za kuishi,imeandikwa,"Duh..shikamoo mkuu
Hiyo 95 nina miaka minne
Miaka 86 ya baba ako hata bibi na babu yangu wadogo hapo
Heshima yako mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu SK2016 akili kubwa yahitajika!Dah! Inabidi tuombe akili za ziada za kuishi nao hawa viumbe tuloumbiwa kuwa wasaidizi wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
AmenAsante Yna2,Longevity/maisha marefu ni mojawapo ya baraka za Mungu,ukimtumikia Mungu aliye hai ataziongeza siku za kuishi,imeandikwa,"
Nanyi mtamtumikia BWANA, Mungu wenu, naye atakibarikia chakula chako, na maji yako; nami nitakuondolea ugonjwa kati yako. Hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba, wala aliye tasa, katika nchi yako; na hesabu ya siku zako nitaitimiza. "
KITABU CHA KUTOKA 23:25-26
Ni maombi yangu Mimi nifikishe miaka 100+
Mimi kwani nisema hivyo mkuu??..angalia nimenukuu hiyo sentensi,sijamaanisha hivyoWewe hapo ulipo huenda hujui hata bei ya tofali ikoje.Huenda wewe bado kula kulala kwa baba.Hela yako sanasana ni ya na kuendea disko na kuhonga mademu,Nitolee maisha ya facebook hapa,mkuu Darmian
Katika maisha maskini Mara nyingi ndio wanakuwa wazembe kwenye kusimamia matumizi ya pesa kuliko matajiri.Ninachokifanya ni principals za kawaida kuachana na matumizi mabaya ya fedha na rasilimaliMimi kwani nisema hivyo mkuu??..angalia nimenukuu hiyo sentensi,sijamaanisha hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndizi zimeletwa mezani zinanuka Moshi mm nasusa kula!!!!
Sawa naacha!!!Mwanaume sio vizuri kususia.
Kaka sikia nikuambie kwa maelezo yako tu inaonekana wewe ni mbabe sana hata katika vitu ambavyo hapastaili ubabe na mke wako umemfanya kama mtoto wako unamuongoza kwa kila kitu yaani hana ajualo ila wewe ndo wajua kila jambo, mke wako anajua fika hali ya maisha yenu anajua bajeti yenu naamini kama umemuelejeza vya kutosha hunabudi kuwa mkimya kwani ameshachoka na maelekezo yako ya kila siku kilichobaki ni kukomoana tu, just be quite at least for one week you will see the changes, ni maoni yangu bro nisieleweke tofautYes mama Sabrina, gas imeisha toka juzi,kwa hiyo nilimwambia apikie jiko la umeme km vitu vyepesi na jiko la mkaa au maranda kama kuna vitu vigumu vya kuiva.Jiko la maranda lina moto mkali kama wa gas na gharama yake ni rahisi sana.Gunia zima la maranda,kiwandani nanunua 1000 tu,na linatumika mwezi mzima,na halina Moshi kama jiko la kuni.Yeye hizo ndizi na chai angetumia umeme wala kusingekuwa na shida,manake haizidi dakika 10 kutayarisha!
GuessingKaka sikia nikuambie kwa maelezo yako tu inaonekana wewe ni mbabe sana hata katika vitu ambavyo hapastaili ubabe na mke wako umemfanya kama mtoto wako unamuongoza kwa kila kitu yaani hana ajualo ila wewe ndo wajua kila jambo, mke wako anajua fika hali ya maisha yenu anajua bajeti yenu naamini kama umemuelejeza vya kutosha hunabudi kuwa mkimya kwani ameshachoka na maelekezo yako ya kila siku kilichobaki ni kukomoana tu, just be quite at least for one week you will see the changes, ni maoni yangu bro nisieleweke tofaut
Sent using Jamii Forums mobile app