Wanawake bia ngumu wanakunywa, usiwalegezee wanakuona boya

Wanawake bia ngumu wanakunywa, usiwalegezee wanakuona boya

Then kuna mimi ambaye tukitoka na baby ni niwekewe box za juice mezani we kunywa hizo bia zako mpaka akili ikukae sawa.Hizo vitu ni chungu aisee[emoji114]
 
Namwambia anywe bia ya bei nafuu kama yangu, isizidi bei yangu, kama vipi sepa.
 
Then kuna mimi ambaye tukitoka na baby ni niwekewe box za juice mezani we kunywa hizo bia zako mpaka akili ikukae sawa.Hizo vitu ni chungu aisee[emoji114]
naambiwa kunywa hayo majuice yako na maji mpaka tumbo likupasuke hahahaaaaa!
 
Back
Top Bottom