Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Nenda buguruni kimboka mkuu. Demu anakunywa Dabo kk kama maji ya baridiDuh..
Huyo sio demu ni takataka, demu anakunywaje dabo Kiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda buguruni kimboka mkuu. Demu anakunywa Dabo kk kama maji ya baridiDuh..
Huyo sio demu ni takataka, demu anakunywaje dabo Kiki?
Uyo atakuwa demu wa chugga,maana mademu wa uko ni maninja😀😀Mpaka double kick ,uyo ni noma,nyama ulimnunulia kweli
😀😀😀chugga ni balaa mzee demu anakunywa na alewiNenda buguruni kimboka mkuu. Demu anakunywa Dabo kk kama maji ya baridi
[emoji23][emoji23]mzuri laini afu anapiga vitu vigumu kumezaUyo atakuwa demu wa chugga,maana mademu wa uko ni maninja[emoji3][emoji3]
naambiwa kunywa hayo majuice yako na maji mpaka tumbo likupasuke hahahaaaaa!Then kuna mimi ambaye tukitoka na baby ni niwekewe box za juice mezani we kunywa hizo bia zako mpaka akili ikukae sawa.Hizo vitu ni chungu aisee[emoji114]