Wanawake buana!!

Wanawake buana!!

Sema vibinti.

Mwanamke unatorokaje na unalazaje kikopo cha kukojolea ndani?
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] nasubiri comment ya Miss chagga na Miss natafuta.. Uzi uishe..
 
We kopo hizo umezionaje?we hujui meeting in dark
 
Wanawake buana hatare saana
Et kutoroka kwao usiku nakwenda kwa
msela hawaogopi ila kutoka nje usiku
kukojoa wanaogopa wanakojoa kwenye kopo Akil zao wanazijua wenyewe😀

Kweli nature ni nature tu...
sio kopo tuu mkuu wengine hadi ndoo...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] nasubiri comment ya Miss chagga na Miss natafuta.. Uzi uishe..
[emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] namimi namsubiri miss chagga aje kwanza ili atoe majibu mazuri ya huu uzi [emoji23]
 
[emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] jamani unatakiwa kumwambia dada wigi lako zuri kama amevaa wigi na kama ni natural hair umwambia, wanawake wanapenda kusifiwa jamani hata kama kwa uongo [emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom