Wanawake bwana!!

Eti namtaka nimpeleke lunch anataka nimnunulie kwanza gauni jipya la mtoko! Mnatuwaziaje sisi wanaume lakini?
Hakupendi unajipendekeza tu, ana fala wake akimwambia atavaa hata gunia na akifika ataagiza wali maharage wala hata jali ukali wa jua!!
 
Reactions: Mu7
Zama front chagua nyama toa hela piga then its over!!babe~babe zitawaua hayo mambo yaacheni kwenye tv!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…