hahahahahahaahhahh kweli watu kiboko!Mbwa na kuku wanakata viuno walisoma wapi?
wanawake darasa 7 wanajua mapenzi sana, kwao hiyo ndio taaluma. Mfano mzuri ni wanawake wa pwani na tanga, hawa hawana elimu na kazi yao/ ujuzi wao ni mapenz!
Straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't depend much on academic level, ila luv expression does, in love making, expressing they are vihiyo, iam sorry jaribu kutoka mmoja wao. I am done if ur standard seven sitongozi. leta at least O-level certificate, huna sitongozi, std VII waste of
time
Umepigwa kibuti na drs la saba halafu unahamishia hasira zako jf. Ulidhani kwa kuwa darasa la 7 atakubali kirahisi tu ng'o.
mbona mmemshambulia sana?
Elimu ni kitu muhimu sana kum-shape mtu hata ktk mahusiano.
Elimu husaidia mtu aweze kuyapambanua vitu ktk maisha.
Mahusiano si kufanya mapenzi tu.
mtu mwenye elimu ktk uhusiano anajitofautisha kabisa na mtu wa std 7 kiupeo.wa std 7 hukosa exposure ktk mambo mengi ya maisha wakati mnbadilishana mawazo hasa pindi mko na marafiki.
NB:si kila msomi ni mjuzi kwenye uhusiano,uhusiano hufanikishwa na vitu vingi kama utamaduni,elimu,imani na malengo ya wahusika.
wanawake darasa 7 wanajua mapenzi sana, kwao hiyo ndio taaluma. Mfano mzuri ni wanawake wa pwani na tanga, hawa hawana elimu na kazi yao/ ujuzi wao ni mapenz!
hovyooo!wanawake darasa 7 wanajua mapenzi sana, kwao hiyo ndio taaluma. Mfano mzuri ni wanawake wa pwani na tanga, hawa hawana elimu na kazi yao/ ujuzi wao ni mapenz!
Straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't depend much on academic level, ila luv expression does, in love making, expressing they are vihiyo, iam sorry jaribu kutoka mmoja wao. I am done if ur standard seven sitongozi. leta at least O-level certificate, huna sitongozi, std VII waste of
time
Frankly speaking, with all due respect, sidhani kama ninaweza kuolewa na mwanaume aliyeishia form six (unless awe na extra ordinary understanding au pengine alikosa tu opportunity ya kwenda univ au alifukuzwa univ or college).