Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...aha ha! FA sasa utaolewaje (tena) wakati umeshaolewa bana?
On a sewrious note;...nawe una 'madongo' gani kwa waliona elimu chini ya form six?
Akutukanaye hakuchagulii tusi!!! kwani kukata kiuno nako kuna chuo unasomea??????
hakuna mikubebe ka miji mama iliyojaa hapa mjini iliyoishia darasa la saba kazi yao kuvunja ndoa za watu?????
aaaaaaaaaahhhhhhh!!! nenda zako na PHD yako???
hahahaaa, you are right, nilitakiwa kuandika 'nisingeweza kuolewa', lol.
Unajua mapenzi hasa ndani ya ndoa hayakamilishwi na sex. Vitu kama compatibility mara nyingi inachangiwa na what you people talk about, likes, do's and dont's. Hebu fikiria wewe unapenda maongezi kuhusu mambo ya maendeleo, investiment za hali ya juu, uleaji wa watoto kwa misingi ya mrengo wa kati; huyo itafikia wakati ataona unampelekesha kwa sababu unatake lead kwenye kila kitu. Lazima ucounter check this and that.
Nadani suala la la elimu katika ndoa ni muhimu, Professor anaweza kuoa form six failure (wanawake wanavumilia na hawa inferiority complex). Mwanaume form six failure akioa Master holder tu (halafu bahati mbaya mwanamke awe muongeaji na mchakarikaji) there must be a problem among 95% o the marriages. Hapo sasa ndipo utakapoanza kusikia wanawake wasomi wana matatizo.
Any way God know's the best.
...hapo nimekuelewa. Inferiority Complex ni sawa na mmea unaokuzwa kichwani. Ukiupatia maji na mbolea, haitajalisha mke ni msomi, tajiri, mrembo au 'celebrity' kushinda mume...ndoa itakuwa mashakani tu.
Straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't depend much on academic level, ila luv expression does, in love making, expressing they are vihiyo, iam sorry jaribu kutoka mmoja wao. I am done if ur standard seven sitongozi. leta at least O-level certificate, huna sitongozi, std VII waste of
time
mara nyingi inferiority complex inakuja pale anayetakiwa kuwa superior hana uwezo wa kuonyesha superioty yake. Wanawake wamshakubali, wanajihesabu inferior hata pale inapotokea wako superior. Kwa mfano mwanamke kumpa mwanaume pesa aili alipe mnapokuwa restaurant, mnaoenda shopping unampa pesa ili akulipie (aonekane yuko superior) etc.
All in all understanding inaongezwa sana na kiwango cha elimu, exposure etc. Mwanaume form six leaver aliyeishi miaka kumi Uingereza ana uelewa mkubwa kuliko Professor aliyezaliwa, kukua, kusoma na kupata vyeti vyote Dar.
Any way chaguo langu mimi ni mwanaume aliyekuwa na at least advanced diploma.
...Mugabe ana Degree saba (7!) na Grace alikuwa Secretary wake. Sshhhhhhh! usimwambie mtu!
Nimezungumzia mfano tu! :A S wink:
FA, kipenda roho bana,...wengine TABIA, au IMANI ndio huipa 1st priority, kisha mengine yanafuatia.
Wengine UZURI, huwatoa fahamu,...
Good for you kigezo cha ELIMU kuwa mojawapo ya
'main' priorities.
Akutukanaye hakuchagulii tusi!!! kwani kukata kiuno nako kuna chuo unasomea??????
hakuna mikubebe ka miji mama iliyojaa hapa mjini iliyoishia darasa la saba kazi yao kuvunja ndoa za watu?????
aaaaaaaaaahhhhhhh!!! nenda zako na PHD yako?
Stop such unnecessary, narrow minded argument, kukata mauno is it all about luv? Sex is just part of love making & life in general, get me right std 7 with somebody say a
degree graduate /PHD holder kama wataoana au kutoka kimapenzi not only sex a complete relation is a HARD road to engage &
enjoy love, almost impossible with current world, try it or go & search, stop telling
me about our parents or forefathers look ur watch, kamazitakuwa ni sex ya kukata mauno tu hata mbwa, nguruwe, punda, nyani wanakata kuliko ww, UPEO so critical now in relation, hata F4 if u score Div O almost mahusisno yatakushinda, easter njema
Straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't depend much on academic level, ila luv expression does, in love making, expressing they are vihiyo, iam sorry jaribu kutoka mmoja wao. I am done if ur standard seven sitongozi. leta at least O-level certificate, huna sitongozi, std VII waste of
time
Straight to the point.... Wanawake walioishia darasa la saba hawajui mapenzi kabisa, kitandani hata kimaongezi wengi wao washamba, they almost don't know themselves wapo wapo tu, najua luv doesn't depend much on academic level, ila luv expression does, in love making, expressing they are vihiyo, iam sorry jaribu kutoka mmoja wao. I am done if ur standard seven sitongozi. leta at least O-level certificate, huna sitongozi, std VII waste of
time
Mapenzi ya kitandn hayahitaji PhD ndugu yangu,tena waweza kuta hao wasomi wako buzy wakitafuta degree na wengine wako buzy wakitafuta namna ya kujenga nyumba zao,swala la kauli ni kuelimishana na kuelekezana tuu.enjoy!
Mhh nimekupata mkuuMtoa mada has a valid point, ila tu he went straight to the point.
Mr. President is a rare kind of man, he is interested and turned on by the female inner beuty, the brain. He also likes and appreciate the challenge a bright woman has to offer.
Not all but most of men are attracted by outside and fake beauty for a trophy girlfriend or a wife. The truth is, if the "trophy" wife is dumb, after a while it becomes a complete turn off. Hii husababisha wanaume wengi to cheat or to strike a friendship with a woman who stimulates his brain. It get worse when the trophy akianza kuchuja outer beauty, kama vile shape isiporudi baada ya kujifungue, etc.