Wanawake desperate katika mahusiano, wanatengenezwa na wanaume

Mmh [emoji848]
 
Expert nakuunga mkono
 
Tushazoea....utashindana na mtu anayemlaani aliyemzaa utaweza?
Jf imekuwa sehemu ya hovyo sana...
 
Tushazoea....utashindana na mtu anayemlaani aliyemzaa utaweza?
Jf imekuwa sehemu ya hovyo sana...
Hapana hatuwezi kuzoea tuelimishane taratibu
Nadhani unaona mauaji makubwa na ukatili wa kutisha dhidi ya wanawake huu huanzia kwenye mitandao na kwenda kwenye maisha ya kawaida Leo anafanyiwa wa jirani kesho anafanyiwa mtoto,dada ,mama au hata mtu wa karibu Yako na moyo wako unavunjika kabisa 💔💔💔tukumbushane
 
Ni nyakati mkuu.. upendo hakuna tena
 
Demu yoyote kama sio bikra huyo yupo desperate/broke, hao ni kuwavizia na kula nyabe na kupita kama upepo wa kisulisuli, hizi mbususu sio mali yako wala huwezi kuzimiliki.
 
Umeandika kama demu. Kwan wewe ni demu?🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…