Mkuu kwa majib hayo mbona hamna aliyekataa hapo????Msichana akitaka kukutafutia sababu ya kukukataa
wala hatumii nguvu, ana full of
option, na majibu yao makuu ni haya yafuatayo:
1.We kwanza mweusi na mi mweusi mtoto atakuwa
so dark, mi napenda wanaume weupe ili mtoto atoke
mzuri.. Anaongea kwa kujiamini utadhani kwenye kutunga mimba huwa anamsadidia Mungu kukoroga
kopo la rangi ya mtoto...
2.We sio type yangu...: sasa sijui type ipi anataka Nokia
au Samsung
3.Am not ready, moyo wangu umepasuka...moyo
upasuke bado unatembea??Tairi lenyewe likipasuka watu wanaziba
pancha...
Kuwa Mwanaume shida, tunapambana na
majibu unaweza kumzaba vibao mtu na Love inaisha
hapohapo!..
Hahaah eti Miss Natafuta Panaukweli hapo?Muulize Miss Natafuta Kama Sa Hivi ana swaga hizo [emoji23][emoji23]...
Umri ukiwatupaga Anatembea hata ma bulldozer
Mimi mpaka leo hii sijawahiii kuwaelewa wanawake....Sometimes ni vigumu sana kujua wanawake wanataka nini.
Kutolewa nje Na demu kitu cha kawaida tu.wakati mwingine naonaga poa tu sbb wanatuepushia mengi tu.Na tunavumilia mengi Mpaka tunakufa na Tai Shingoni
Afu unajua nini?wakifikisha miaka 30 wanaanza kututafuta kwa tochi ya uweme wakati wako early 20 walikua wanatumia tochi ya kurunzi.Na tunavumilia mengi Mpaka tunakufa na Tai Shingoni
HaahaaBado utasikia nna mtu wangu, nampenda sana. Kumbe mtu mwenyewe hewa.
Hebu niachie jje's plzNa tunavumilia mengi Mpaka tunakufa na Tai Shingoni