Wanawake hamna maajabu, tunatumia pesa nyingi bure!

Fahari ya sisi wanaume ni kula pesa yetu na warembo...acha ubahiri bro
 
baki njia kuu,
mchepuko ni kukaribisha umaskini na hasara mfukoni mwako, uzinzi moyoni mwako zaidi sana magonjwa na chukizo machoni pa Mungu...
 
Sema wewe umechelewa sana kugundua hili. Mimi nalifahamu hili toka miaka ya 1990s.
 
Sasa ulitaka kitu gani ambacho kisicho cha kawaida wakati wote tumeumbwa na Mungu yule yule?

Wanaume kwa kujikweza na kujiona muhimu!!!!!!!
 
Yaani huyo ni mimi mtupu wakati huu ndio ninachopitia, lakini sitobaka mtu mpaka nipate mtu ambae nitakwenda kumpelekea moto mpaka turipike wote
 
Yani mimi nimetumiwa saivi haujaimiss kiclip Vyu wansi hapa nmemwambia Bolt amfate kibaha Mathias amlete mikocheni nitalipa
 
Tatizo haina mbadala.
Ile experience huwezi kuipata kwa nyeto hata iweje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…