Wanawake hamna maajabu, tunatumia pesa nyingi bure!

Ifike mahali mnaosema wanawake hawana chaku-offer, hawana jipya, wako overrated, mmetuchoka etc. Etc. mliwazane wenyewe kwa wenyewe! Ama mtafute dunia yenu mkajifiche huko mtuache tupumue kidogo na hawa wanaotuelewa.

Asanteni sana!
Wapi wataweza?.... ngono ni inherent need ya binadmu.
 
Tuko pamoja hapa
 

Kama hufanyi kabisa ntakuelewa
 
Ifike mahali mnaosema wanawake hawana chaku-offer, hawana jipya, wako overrated, mmetuchoka etc. Etc. mliwazane wenyewe kwa wenyewe! Ama mtafute dunia yenu mkajifiche huko mtuache tupumue kidogo na hawa wanaotuelewa.

Asanteni sana
Ukorofi umeanza lini?
 
Hilo tundra ni muhimu aseee 😐
 
Kweli Mkuu unajua wanaume wengi sana tunapata pesa ila zinaishia kwa wanwake?

Hao watu wanafilisi tena anakufilisi akiwa anatabasamu nawewe unakuwa kama fala unatoa tu hela bila kuangalia maisha yako..

Tujifunze kuwa na nidhamu ya pesa, kadri unavyokuwa na wanawake wengi ndivyo unavyofulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…