Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

kumbe kunaumuhim wakutokuoga et?
 
Du mke wangu mtarajiwa umeckia njoo spea party umuone mumeo na kesho utafua tu nyambafuu
 
Umeusemea Moyo wako sio mioyo ya wote, Mimi ninapendwa na Wanawake kisa umaridadi wangu.
 
Aaaah liwalo na liwe tu mkitukataa mtukubali poa tu aaaaah bashite atuchanganye na nyie mtuchanganye aaaaaah weeee,....
 
Mwanaume mwenye sura mbaya siwez jamani. Unaweza ukawa na sura ya ancestor wako ila unajua kuvaa na hela unayo na akili ipo ipo kidogo naweza kukaa. Wanaume wenye sura mbaya afu hela hawana siwezi na sitaki wanipitie mbali kabisa. Mi sio mbaya kwanini nibebe mtu mbaya ikatokea nimenasa bahati mbaya nianze kupata mawazo mwanangu atakuaje inahusu??
 
Dadangu kila MTU anakipenda roho chake binafs napenda mwanaume smart na hunifanya nisitamani mwingine. Ila kwa kaka yetu walimpa shetani nafasi ya kuvuruga ndoa yao niliipenda sana couple yao na nimehuzunika sana kuachana kwao. Coz shetani huja kuvuruga na kuharibu nadhan walipendana sana wakalegeza maombi na kusahau kua adui anarandaranda akitafuta cha kuharibu.
 
hawa viumbe bana, wanapenda tuwe wasaf af wachaf, warefu af wafup, tuwe na hela af tucwe nazo, wakal af wapole, wanene af wembamba, wazur af tuwe na sura mbaya, tupendeze af tucpendeze duu, kama mung akuwaridhsha je? mwanaume ataweza?
Be you!!! Na anaekutaka utampata tu!!! Ukianza kufuatilia nini wanawake tunataka unaweza changanyikiwa!!! We want everything
 
Sijui nina pepo!!! Ila kaharufu (sio liharufu) ka kikwapa cha mwanaume hua kinanitekenya kunako...
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji90] [emoji90] [emoji90] [emoji90] [emoji90]
 
Ujue useme hutak mwanaume mbaya af ww uwe na sura nzuri sio unasema unataka mwanaume mzuri kumbe ww ndo pang'ang'a wa mwisho...!!!!
 
Ujue useme hutak mwanaume mbaya af ww uwe na sura nzuri sio unasema unataka mwanaume mzuri kumbe ww ndo pang'ang'a wa mwisho...!!!!
Chieeeef unadhan ntataka mwanaume ana sura nzuri wakati mimi nina sura ya mjomba wangu??? Hell Naaaaaah. Nataka mtu tunaefanana ndio maana sitak mtu mbaya.
 
Dah miss natafuta yaan kama umeniongelea mim maana Nina sifa zote hizo ulizozitaja za kiume,
Kama huna msela ni pm
Tunaweza tukafika mbali
 
Chieeeef unadhan ntataka mwanaume ana sura nzuri wakati mimi nina sura ya mjomba wangu??? Hell Naaaaaah. Nataka mtu tunaefanana ndio maana sitak mtu mbaya.
Ooooh...!!! Nifate PM niprove kama ni kweli huna sura ya mjomba ako [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mwanaume ananyoa ndevu kila saa si muache ndevu ziote jamani?
Hivi mkiambiwa hamjielewi bado pia utabisha!
Nini sasa umeandika, nyoosha maelezo wewe unapenda ndevu rasta basi ueleweke.
Wengine kila siku ugomvi na wake zetu kisa tumerejea kutoka kwenye mihangaiko bila kunyoa ndevu, wewe unasema wanaume waache ndevu ziote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…