☝️☝️msanii Amber Rutty
Unachora ile ya kufutika.Ujinga tu, yani nijichanganye nikafanye huo ujinga yule mtoto wa mama mkwe ananiacha asubuhi na mapema.
Haishangazi huyo mwanamke kuachika.
Hivi haya maigizo yanamnufaisha vipi Geo Davie? Sijawahi kuelewa.
Haijalishi Mkuu, kitendo cha kuchora ni kilekile ambacho ni upungufu wa akili.Unachora ile ya kufutika.
Ila imani hii yetu inachezewa sana ila jamaa wanajua wajinga wengi daaah.........
Hujashangaa ya Gigy aliyekuwa analia kwa Malisa mwezi uliopita?Huyu huyu amber rutty mwenye connection yake mpya mjini
Ha haa hawa watu jamani, hadi unashindwa kuwaonea hurumaHujashangaa ya Gigy aliyekuwa analia kwa Malisa mwezi uliopita?
geo davie mwenyewe yuko sleek anaweza kudondoshwa dhambini tena kwenye uzinzi asubuhi tu na makahaba hao wanaojichora tatooWadangaji tu hao
Ova