Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani umeingia JF siku ya Alhamis tarehe 27/10/2016 halafu umewajua tayari members wa humu na kuwakubali! ama kweli nimeamini waliosema kuwa JF members halali hawafiki hata 50 wengine wanarudia rudia kufungua ID za nyongeza kiasi kwamba tunaonekana tuko wengi! pole zake!
Sasa tatizo lako unaamini, ila kwenye maisha unatakiwa kujua na sio kuamini. Yuko sahihi kabisa.Mkuu Naamini haukutendewa haki kuwa kwenye ile list.
Huyo ana ids nyingi, wacha kumtetea......watu kama hawa wanajulikana tuUnaweza kukuta amejiunga io tarehe lakini alikua anafatilia mada mbali mbali kbla ya kuwa member..id zinaonekana na unaeza kukuta alikua anawakubali tangu hajawa member JF
Tatizo na uso wako umeuficha labda uuweke uonekane kidogo,,Inawezekana ukakonga nafsi hata zilizo na misimamo isioyumba.Sasa tatizo lako unaamini, ila kwenye maisha unatakiwa kujua na sio kuamini. Yuko sahihi kabisa.
ulikuwa unatafuta lyks bora hujajitaja mana nzinzi tu1.sky elcat
2.miss chagga
3.miss natafuta
4.feitty
5.scorpio me
6.Nifah
7.cute b
8.heaven sent
9.Geniveros
Jamani nawakubali sana girls
Ilaa kuna huyu hapa
1.Monicca
Simuelewagi
Sijui kala maharage ya wapi huyuuuu[emoji38]