mmh BB wee ni bahili unaonyesha yaani unataka hadi kiingilio cha club iwe ni cost sharing????? we ni kiboko dah...hivi siku Mungu amekujalia mihela unaweza kweli kumnunulia gari ur wife bila yeye kuchangia hata shilingi kisa tuu na yeye anafanya kazi???wanaume wa siku hizi mnabore sana mbona mnakwepa majukumu yenu??? ukiwa namsichana au mke mfanyakazi unataka kila kitu 50% jamani hamjaumbwa hivyo sasa utakuwaje kichwa cha nyumba kama kodi ya nyumba mnalipa nusu kwa nusu,ada za watoto shule mlipe nusu kwa nusu kwa nusu, huyu akilipa maji wewe umeme,bado hapo utataka mwanamke ajimaintain mwenyewe kwa mavazi na cosmetics ....aaiii sasa uanaume wako uko wapi? kwenye ku-do tuuu?????