.....principles za mwanamke zinabaki pale pale ukiwa alosto hakutaki......ukimwambia ukweli unakula buti....that's all
AKITAKA NINI SASA?sio kweli kwamba hawataki kusikia umechoka!NAPINGA HILO.....!wanawake wanajua sana kujali na kumpa mtu courage hasa akichoka
Kupitia utandawazi twaweza kupanda ngazi ila sio maungo yake yote kuyaaacha wazi.......Mwanamke anakwambia amechoka kupanda daladala anataka ka starlet na wewe ndo hivyo tena ukiangalia mwanamke kiwango mpaka TBS wanaheshimu......duh inabidi umfunge kamba tu muendelee kuishi la sivyo mapedeshee watakupora tu.
Wewe hupendi hela?aa wapi ukiona mwanamke anapenda hela yako ujue ndivyo ulivyomzoeza wewe mwenyewe kuanzia mwanzo.
aa wapi ukiona mwanamke anapenda hela yako ujue ndivyo ulivyomzoeza wewe mwenyewe kuanzia mwanzo.
...sijafanya bado ujinga huo! Mtu nishamuweka ndani bado tu niendelee kuomba omba na kubembeleza hata vilivyo 'halali yangu'... No way bana!
Tehe, tehe, tehe, koooh! Kuku wako mwenyewe, ya nini kumshikia manati? Si umsubiri tu jioni ataingia bandani mwenyewe na utamkamata kiupooooole!
Hawapendi uchache. yaani usiwe broke,
pili hawataki kusikia umechoka, akitaka we lazima umpe stahili yake.
Tatu usimsifie demu mwingine.
Ni hayo tu MATATU. mengine yoote ni mbwembwe tu.
Mwanamke hapendi umwambie ukweli.........ukisema ukweli tu juu yake umemkosa.
Mwanamke ni mtu wa kupendwa kudanganywa kama mtoto mdogo.......hapo sawa.
Pesa tu kwanza..angalia yule wa BoT aliwapata mamis kirahisi sana!
Pesa sabuni ya roho!
Sema baadhi ya wanawake, kama ilivyo baadhi ya wanaume.
...sijafanya bado ujinga huo! Mtu nishamuweka ndani bado tu niendelee kuomba omba na kubembeleza hata vilivyo 'halali yangu'... No way bana!
Mkuu akikunyima je utafanyaje?
Wakati ni haki yako ya msingi upate hata kutwa mara 3.
wewe vya halali gani, you might wantto re-negotiate access depending on your most recent behaviour!!!!! wachana na mambo ya halali...ahahahhaha
Hawapendi uchache. yaani usiwe broke, pili hawataki kusikia umechoka, akitaka we lazima umpe stahili yake. Tatu usimsifie demu mwingine . Ni hayo tu MATATU.
mengine yoote ni mbwembwe tu.