Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
.....principles za mwanamke zinabaki pale pale ukiwa alosto hakutaki......ukimwambia ukweli unakula buti....that's all
Mwanamke anakwambia amechoka kupanda daladala anataka ka starlet na wewe ndo hivyo tena ukiangalia mwanamke kiwango mpaka TBS wanaheshimu......duh inabidi umfunge kamba tu muendelee kuishi la sivyo mapedeshee watakupora tu.