The Butcher
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 348
- 491
Ivi kwann sana hayavmawigi wabatumia wanawake wa kiafrika?... Jaribu kuangalia Eastern people kama Arabs n Koreans.... YaaniWanawake huwa tunajiambia we can look better in this or that.
Hatuchokagi kujaribu jaribu trends ambazo huwa baadae zinakuja kutudhuru ilmradi tu tuendane na mda.
Ivi kwann sana hayavmawigi wabatumia wanawake wa kiafrika?... Jaribu kuangalia Eastern people kama Arabs n Koreans.... Yaani
Ila najua ata ww waamini you look best in Natural
imagine una zako ndefu mpka begani then kwa side moja ya kichwa umeacha nywele kidogo zina hang... then kisogoni umebana... hizii ndo swaga saa sio manywele na katani uko....
Kumbe uzuri mnajua zinaweza kuwadhuru baadae ila mnafanya, basi ni juu yenu
Hahahaaaaa!Wanasemaga bhana.
Mume wangu anasemaga haya ushavaa madude yako.😀😀😀
Ndo nimejikubali navaa mawig mwayaaHuna haja ya kukificha jikubali tu mwaya
Asili ya nywele zetu sio kuwa ndefu mpaka kufikia za wazungu au Asians.Ivi kwann sana hayavmawigi wabatumia wanawake wa kiafrika?... Jaribu kuangalia Eastern people kama Arabs n Koreans.... Yaani
Ila najua ata ww waamini you look best in Natural
imagine una zako ndefu mpka begani then kwa side moja ya kichwa umeacha nywele kidogo zina hang... then kisogoni umebana... hizii ndo swaga saa sio manywele na katani uko....
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Dawa yake ukimkuta kalivaa unamvua halafu unakimbia nalo
[emoji3][emoji16][emoji16]chaiiiMkuu mimi sikuishia kwenye kupiga marufuku tu bali nilimpeleka kwa mwanasheria akasign mkataba wakutokuvaa wigi maisha yake yote tutakayoishi pamoja kisha akala na kiapo juu............
UKitaka kuona huwa anawezakupiga ngumi kiasi gani, litoe kwa ngvu kichwani kwake.Nauliza hivyo maana nilikuwa nimepanda hiace nimekaa na dada siti moja ameyashonea hayo madubwasha yanatoa harufu kali.
Halafu sijui nani aliwadanganya kuwa yanawapendeza maana wengine wakiyavaa utafikiri wametundika kwenye mti.
Mie nmeona chicago 23Kama nyie wanaume mnavyotofautiana katika style zenu za kunyoa na wanawake ndo tupo hivyo.
Huwezi lazimisha eti tusivae mawigi wakati wengine ni hobby zao, afu suala la uchafu ni asili ya mtu binafsi.
Kwa mwanamke anaejielewa hawezi kaa na wigi tena fake wiki nzima bila kubadili na kuosha kwa mawig og.
Wengine wanatamani kuwa asili ila inashindikana kutokana na asili ya nywele sababu wengine wanazo nzito na ndefu, wengine ni nyepesi sana.
Na isitoshe mwingine akisuka anaumwa kichwa yaani kila mtu na kadhia yake linapokuja suala la nywele.
Hahahahhahakuna yale yanakua na rangi sijui ndo tuseme blonde au njano au kaki ile sina uhakika sana unakua kama kichaa fulanj hivi aliye chovya kichwa chake kwenye ndoo ya rangi dah
mwandiko wako ni kama tumewah kutana group moja la wasap. Moja ya hilo grup linaanza na W na jingine G kama sio wewe basi nimekufananisha.Katika urembo huu wa kuvaa wigi sjui kushonea kusuka rasta hivi vmenishinda hata zile kope bandia huwez kuta nimeeka nachoahukuru nina asili ya nywele
Utakua umenifananisha mkuu sjna group yenye hayo majina kabisamwandiko wako ni kama tumewah kutana group moja la wasap. Moja ya hilo grup linaanza na W na jingine G kama sio wewe basi nimekufananisha.