Wanawake haya "mawigi" yanatakiwa yakae siku ngapi kichwani?

Wanawake haya "mawigi" yanatakiwa yakae siku ngapi kichwani?

Adha sio lazima uone wewe japo kuna adha mnakumbana nazo ila hamtaki kukubali, vipi ukinyeshewa mvua na wigi lako, hapo kinachotokea unakijua mwenyeweSijawahi kuzivaa na zinakera, jee nikizivaa sio ndio itakuwa balaa zaidi
Sawa.
Nikinyeshewa na mvua naenda salon nakausha. Kwa mfano mimi kuna muda natamani kusuka rasta ila siwezi. Nikisuka hata nywele za mkono naumwa kichwa. Nikisuka rasta napata homa kabisa. Sasa mateso yote hayo kwanini niyapate nianze kuumwa kichwa niumwe homa wakati kuna weave na wigs. Na napenda ukiacha matatizo ya kichwa changu
 
Nikinyeshewa na mvua naenda salon nakausha. Kwa mfano mimi kuna muda natamani kusuka rasta ila siwezi. Nikisuka hata nywele za mkono naumwa kichwa. Nikisuka rasta napata homa kabisa. Sasa mateso yote hayo kwanini niyapate nianze kuumwa kichwa niumwe homa wakati kuna weave na wigs. Na napenda ukiacha matatizo ya kichwa changu
Sawa
 
Mm demu ambae ana wigi kichwanii hanipi mzuka kabisaaa.... Hijab is everything... naamini mwenye hijab ana zake za asili[emoji4]
 
Ivi ukifuga nywele zako ukazitunza unapungukiwa nn asee?... Mungu kawapa nywele Og kabisa... Wadada mnamkosoa Mungu bila kujua .....
 
Inategemea na ntu na ntu. Wig huwa linavaliwa na kuvuliwa. Kwa weave inategemea na aina ya weave. Ukiweka weave og unaweza vaa hata miezi sita kazi yako inakua kuosha tu nywele. Sasa wale wenzangu na mie tunaovaa nywele za plastic hawawezi zidisha two weeks inabidi wazitoe maana zile hazioshwi na joto la kichwani lazima litow harufu.
Hivi weav Original ndio likoje au ndio nywele za mzungu 100%?
 
Yani mimi fake ni nywele zangu tu. Sibandiki kucha sijawahi kubandika kope. Yani niko fake kwenye nywele tu. Na tukubaliane kwamba sio kila kitu Mungu atakupa kama wengine. Kama mimi kanipa kipilipili na nimekipokea nimeamua kukificha kwa nywele fake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huna haja ya kukificha jikubali tu mwaya
 
Kwa nini hamtaki kujikubali?

Kila mmoja kaumbwa kwa uzuri asilia, tujikubali tuepukane na adha zisizokuwa za msingi

Wanawake huwa tunajiambia we can look better in this or that.

Hatuchokagi kujaribu jaribu trends ambazo huwa baadae zinakuja kutudhuru ilmradi tu tuendane na mda.
 
Wanawake huwa tunajiambia we can look better in this or that.

Hatuchokagi kujaribu jaribu trends ambazo huwa baadae zinakuja kutudhuru ilmradi tu tuendane na mda.
Kumbe uzuri mnajua zinaweza kuwadhuru baadae ila mnafanya, basi ni juu yenu
 
Back
Top Bottom