Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Saiv naleta ambazo sitojutiaUshajisahau mara hii?
Thread 'Ushawahi kujutia kuleta thread huku jf?' Ushawahi kujutia kuleta thread huku jf?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kutoa siri ya kambi
Huu ni uzoefu wako mdogo sana kwa wapiga mizinga, nikwambie tu hii tabia ya mizinga kwa lengo la kumkataa mwanaume ni local rejection.Habari zenu,
Wanaume wengi wamekua na tabia ya kulalamika na kupigwa mizinga na wanawake.Wengine wanalalamika sana eti wanawake wanapenda sana kutangaza shida and blablabla..
Sikiliza bro, mwanamke anaweza kukupiga mzinga na akawa hana shida na hiyo hela but anataka tu kukufukuza so sometimes inabidi ujiongezee. Wewe kila ukimtafta anakutangazia shida tofauti tofauti hivi kweli unashindwa kujiongeza, unabaki kupeleka mashitaka jf ya kupigwa mizinga[emoji23][emoji23]
Kingine, kama una uhakika mmependana na mwanamke ,wewe usisubiri kuombwa pesa, mtumie tumie pocket money au mfungulie shughuli ya kumpatia kipato then uone kama atakupiga mizinga ya kijinga unless kama unadate ombaomba na mvivu.
Uzi tayari.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila hakuna kitu kinachowauma wanawake wapiga mizinga kama eat and run
Una pepo la bushoke mzeeNifanyeje niweze wanyima wanawake pesa kila wakiomba, roho ya huruma inanijia sana?
Bebi nikuambie kituHabari zenu,
Wanaume wengi wamekua na tabia ya kulalamika na kupigwa mizinga na wanawake.
Wengine wanalalamika sana eti wanawake wanapenda sana kutangaza shida and blablabla..
Sikiliza bro, mwanamke anaweza kukupiga mzinga na akawa hana shida na hiyo hela but anataka tu kukufukuza so sometimes inabidi ujiongezee.
Wewe kila ukimtafta anakutangazia shida tofauti tofauti hivi kweli unashindwa kujiongeza, unabaki kupeleka mashitaka jf ya kupigwa mizinga[emoji23][emoji23]
Kingine, kama una uhakika mmependana na mwanamke ,wewe usisubiri kuombwa pesa, mtumie tumie pocket money au mfungulie shughuli ya kumpatia kipato then uone kama atakupiga mizinga ya kijinga unless kama unadate ombaomba na mvivu.
Uzi tayari.
HahahaAcha kutoa siri ya kambi
mambo ya nimfungulie, wakat ana mikono na miguu na yeye anaweza kufungua, huyo ni yule mwanamke ambaye maisha yake hayawezi kwenda bila mwanaumeHabari zenu,
Wanaume wengi wamekua na tabia ya kulalamika na kupigwa mizinga na wanawake.
Wengine wanalalamika sana eti wanawake wanapenda sana kutangaza shida and blablabla..
Sikiliza bro, mwanamke anaweza kukupiga mzinga na akawa hana shida na hiyo hela but anataka tu kukufukuza so sometimes inabidi ujiongezee.
Wewe kila ukimtafta anakutangazia shida tofauti tofauti hivi kweli unashindwa kujiongeza, unabaki kupeleka mashitaka jf ya kupigwa mizinga[emoji23][emoji23]
Kingine, kama una uhakika mmependana na mwanamke ,wewe usisubiri kuombwa pesa, mtumie tumie pocket money au mfungulie shughuli ya kumpatia kipato then uone kama atakupiga mizinga ya kijinga unless kama unadate ombaomba na mvivu.
Uzi tayari.