Wanawake hutumia saa 5 kwa umbea!?

Wanawake hutumia saa 5 kwa umbea!?

Filipo

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
9,341
Reaction score
5,543
Utafiti uliofanywa nchini Uingereza umeonesha kwamba wa wanawake hutumia saa 5 kwa umbea, udaku na mambo kama hayo ndani ya siku 1.
Soure: tbc, uchambuzi wa magazeti.
My take: Kama hali ipo hivyo na muda wa kulala ni saa 8, basi wao hutumia nusu siku tu kufanya mambo ya maana!
 
Huu ulimwengu kila kitu wanachofanya wanawake tunaona kibaya!
kwanini badala ya umbeya tusitumie neno kupashana habari?
Naona wanawake kama ni wazuri sana kwenye kuspread information.
 
na wanaume?

nadhani wanaume wanatabia tofauti kutoka na umri wao...

vijana wakikutana - ku discuss ngono

watuwazima wakikutana - ku discuss ndoa zao na maswala ya kazi

napia ligawanywe kundi la walio kwisha oa na ambao hawajaoa.....

wanaume hatuna tabia moja kama ilivyo kwa wanawake....
 
lakini udaku usiudharau ni tiba like therapy-like..........................na hufunza jamii mengi ingawaje tatizo tunayonuia kutotenda huyatenda na yale tunayonuia kuyaacha huyatenda na hivyo bora kukaa kimya................
 
Utafiti uliofanywa nchini Uingereza umeonesha kwamba wa wanawake hutumia saa 5 kwa umbea, udaku na mambo kama hayo ndani ya siku 1.
Soure: tbc, uchambuzi wa magazeti.
My take: Kama hali ipo hivyo na muda wa kulala ni saa 8, basi wao hutumia nusu siku tu kufanya mambo ya maana!

hilo nalo ni neno. umeamua kuwaamkia leo.
 
Mi naona wanawake wa kiafrica hutumia zaid ya saa5!
 
Inawezekana ikawa kweli kwa baadhi ya watu maana kuna wengine kutwa kutaka kujua habari za fulani..na fulani..na fulani alafu ongezea muda wa yeye kuzisambaza pia!!!

Ningekua na masaa matano ya umbea tu ningekua nalala masaa 13 kila siku....I wish!!!
 
nadhani wanaume wanatabia tofauti kutoka na umri wao...

vijana wakikutana - ku discuss ngono

watuwazima wakikutana - ku discuss ndoa zao na maswala ya kazi

napia ligawanywe kundi la walio kwisha oa na ambao hawajaoa.....

wanaume hatuna tabia moja kama ilivyo kwa wanawake....

UNA UHAKIKA?
hIYO RESEARCH Haimaanishi imewahusu dunia nzima. Pili haikulinganisha wanawake na wanaume wa aina zote.Hapo juu umeainisha makundi ya wanaume.Wanawake nao hawako kama kundi moja lililo sawa.

Kuhusu umbeya nadhani hii ni tafsiri ya mtoa mada. Kama ni umbeya naweza kusema haijalishi kama ni mwanamke au mwanaume.Umbeya ni hulka ya wote.Mazungumzo yoyote yasiyo na tija, yenye kumlenga mtu/watu ni umbeya.Kama huo ndio umbeya, hebu tuanza kutafiti hapo hapa JF tuone kama hakuna wambeya wa kiume.Hebu tuainishe muda unaotumiwa kujadili watu JF tuone!
 
inabidi kwa kweli watoe maana ya umbea; maana yawezekana na hii mitandao ya siku hizi wengi tunaweza kuwa tunahusishwa humo. Jiulize tu unatumia muda kiasi gani kwenye MMU au FB
 
hmm sidhani kama ni kweli ingekuwa ni kweli basi tunhekuwa tumepiga hatua za maendeleo sana. wapo wanaume wambeya wengi tu kutaka kujua mambo ya watu, n.k, nimewaona wenyewe tena tunawaogopa kuliko wanawake. na wanawake sio wote wambea kuna ambao wako busy na mambo yao.
 
Kuna baadhi ya wanawake kwa kweli ni wambea ile mbaya ila na wanaume wambea wako tena wambea kwelikweli yn kwa mwanaume 1 aliyekomaa kwenye umbea ni sawa na wawake wambea 10
 
Angel msoffe umeongea kitu kikubwa sana, wanaume nao wamo tena wao hutumia muda mwingi zaidi kwa umbea na kutongozea wenzao. Umbea wa wanawake unafaida bwana asikwambie mtuuu.
 
Back
Top Bottom