Wanawake huvutiwa na nini kwa wanaume kama huyu jamaa

Wanawake huvutiwa na nini kwa wanaume kama huyu jamaa

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kuna jemba fulani rafiki yangu huko Tanzania, jamaa huwatafuna wanawake balaa, na wote huwa hawaoneani wivu, huyu anajua yule kaliwa lakini anajiweka kwenye foleni naye atafunwe. Jamaa ni dogo fulani hana hela hata za gesti hukopa, hana yale masix pack, in fact anacho kitambi japo sio kikubwa, pia elimu yake ya form four Tanzania.

Pia sidhani kama ni dushe maana kunao ambao hajawala bado lakini wanamfuata fuata na vijimaneno vya kutaka awatongoze.

Nimekua najiuliza nini haswa huwavutia wanawake wote hawa, kwanza kawatia mimba wanawake kadhaa na wote wanarudi kwake tu. Hata kuna wanawake wengine wenye elimu kawapitia tu..... Sijajua siri nini ya kuwa na bahati kama ya kwake.
 
Kuna jemba fulani rafiki yangu huko Tanzania, jamaa huwatafuna wanawake balaa, na wote huwa hawaoneani wivu, huyu anajua yule kaliwa lakini anajiweka kwenye foleni naye atafunwe. Jamaa ni dogo fulani hana hela hata za gesti hukopa, hana yale masix pack, in fact anacho kitambi japo sio kikubwa, pia elimu yake ya form four Tanzania.

Pia sidhani kama ni dushe maana kunao ambao hajawala bado lakini wanamfuata fuata na vijimaneno vya kutaka awatongoze.

Nimekua najiuliza nini haswa huwavutia wanawake wote hawa, kwanza kawatia mimba wanawake kadhaa na wote wanarudi kwake tu. Hata kuna wanawake wengine wenye elimu kawapitia tu..... Sijajua siri nini ya kuwa na bahati kama ya kwake.
Nakaa seat ya mwanzo
 
Kuna jemba fulani rafiki yangu huko Tanzania, jamaa huwatafuna wanawake balaa, na wote huwa hawaoneani wivu, huyu anajua yule kaliwa lakini anajiweka kwenye foleni naye atafunwe. Jamaa ni dogo fulani hana hela hata za gesti hukopa, hana yale masix pack, in fact anacho kitambi japo sio kikubwa, pia elimu yake ya form four Tanzania.

Pia sidhani kama ni dushe maana kunao ambao hajawala bado lakini wanamfuata fuata na vijimaneno vya kutaka awatongoze.

Nimekua najiuliza nini haswa huwavutia wanawake wote hawa, kwanza kawatia mimba wanawake kadhaa na wote wanarudi kwake tu. Hata kuna wanawake wengine wenye elimu kawapitia tu..... Sijajua siri nini ya kuwa na bahati kama ya kwake.
Mademu hata kama hawajaliona dushe huwa wanasimuliana mkuu

Umesahahau kisa cha yule mshikaji aliyekuwa kwa demu huyu anavaa shanga, kwa demu huyu havai. Kwahiyo kila demu akawa anaenda ili ku confirm kama kweli jamaa ana shanga au laa

By the way kuwa na dushe kubwa si free ticked ya kuvutia mademu

Kuna wakati ni ngumu sana kuwaelewa hawa dada zetu. But that make life even more interesting.
 
Kuna jemba fulani rafiki yangu huko Tanzania, jamaa huwatafuna wanawake balaa, na wote huwa hawaoneani wivu, huyu anajua yule kaliwa lakini anajiweka kwenye foleni naye atafunwe. Jamaa ni dogo fulani hana hela hata za gesti hukopa, hana yale masix pack, in fact anacho kitambi japo sio kikubwa, pia elimu yake ya form four Tanzania.

Pia sidhani kama ni dushe maana kunao ambao hajawala bado lakini wanamfuata fuata na vijimaneno vya kutaka awatongoze.

Nimekua najiuliza nini haswa huwavutia wanawake wote hawa, kwanza kawatia mimba wanawake kadhaa na wote wanarudi kwake tu. Hata kuna wanawake wengine wenye elimu kawapitia tu..... Sijajua siri nini ya kuwa na bahati kama ya kwake.
Ana nyota ya kimasikini huyo " wala usitamani kuwa kama yeye ".... Majitu mengi yenye sifa kama za huyo Jamaa yako " huwaga yanaona ngono ndio jambo la msingi la kujivunia " ukikaa nao story zao ni sijui fulani nimeshammega " na leo nakwenda kummega fulani ".... yaani ngono ndio dira kwao "..... angalio nawewe usijekutumbukia kwenye huo ujinga
 
Kuna jemba fulani rafiki yangu huko Tanzania, jamaa huwatafuna wanawake balaa, na wote huwa hawaoneani wivu, huyu anajua yule kaliwa lakini anajiweka kwenye foleni naye atafunwe. Jamaa ni dogo fulani hana hela hata za gesti hukopa, hana yale masix pack, in fact anacho kitambi japo sio kikubwa, pia elimu yake ya form four Tanzania.

Pia sidhani kama ni dushe maana kunao ambao hajawala bado lakini wanamfuata fuata na vijimaneno vya kutaka awatongoze.

Nimekua najiuliza nini haswa huwavutia wanawake wote hawa, kwanza kawatia mimba wanawake kadhaa na wote wanarudi kwake tu. Hata kuna wanawake wengine wenye elimu kawapitia tu..... Sijajua siri nini ya kuwa na bahati kama ya kwake.
Nenda akule na wewe ugundue nini huwa wanapata kwake..! Kuna vitu vya kutafakari nipite maana unanichefua aisei...!
 
Labda dogo anadeki Sana mitaro kwaio wanasimuliana. Si unajua mwanamke udhaifu wake upo kwenye kusikia
 
Sifa kuu za huyo jamaa ni hizi,Muongeaji sana,ana rundo la vichekesho na mpenda utani sana,pia ana tabia za umbea wa kike,yaani kutoa jambo huku na kulipeleka kule,hivi vitu huwavutia wanawake wengi sana,haihitaji uwe na hela wala kuwa handsome,and lastly ni wale watu akijua kamuudhi mwanamke anakuwa mwepesi sana kumuomba msamaha,na hii ya mwisho wanawake wanaipenda sana,ndio maana unaweza kukuta huyo jamaa ni Malaya sana lakini kinachomsaidia ni hicho na hasa akijua kagundulika kwani hata wakati mwingine hutoa machozi ili yaishe,mchunguze halafu unipe mrejesho...
 
Asilimia kubwa wanawake huvutiwa na wanaume malaya!
Mimi mwenyewe nikiwa na mahusiano zaidi ya mwanamke mmoja alafu nikayaweka public, mademu wengine huunga foleni wenyewe na hata nikivutiwa na mwanamke mwingine huwa situmii nguvu kubwa.

Yani ikitokea nikakorofishana na mademu zangu wote huwa napata tabu sana kupata wa kunivuta machozi [emoji23][emoji23]
 
Sifa kuu za huyo jamaa ni hizi,Muongeaji sana,ana rundo la vichekesho na mpenda utani sana,pia ana tabia za umbea wa kike,yaani kutoa jambo huku na kulipeleka kule,hivi vitu huwavutia wanawake wengi sana,haihitaji uwe na hela wala kuwa handsome,and lastly ni wale watu akijua kamuudhi mwaamke anakuwa mwepesi sana kumuomba msamaha hii ya mwisho wanawake wanaipenda sana,ndio maana unaweza kukuta huyo jamaa ni Malaya sana lakini kinachomsaidia ni hicho na hasa akijua kagundulika kwani hata wakati mwingine hutoa machozi ili yaishe,mchunguze halafu unipe mrejesho...
Hii kweli asee nina mshkaji wangu ana baadhi ya hizi sifaa yani mademu kwakee ni folenii...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii kweli asee nina mshkaji wangu ana baadhi ya hizi sifaa yani mademu kwakee ni folenii...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Obvious ukiwa mtu wa vichekesho madem weng wanakuzimia. Udhaifu wa wanawake wengi roughly 80% ni kusikia vitu vya kuufurahisha moyo wake na kumpa amani kila akiwaa karibu na wewe. Sasa ikatokea ukawa mtu wa story sana hasa zenye vituko na vimaneno vya kuvunja mbavu basi ujue utawakimbia wewe yani.
Nakumbuka kipindi niko chalii bro wangu tukikaa nae tunapiga story anatuchekesha sana marafiki za sista angu walikuwa wanamiminika home kila weekend wengi waliishia kumegwa na mnyamwezi!
 
Kuna jemba fulani rafiki yangu huko Tanzania, jamaa huwatafuna wanawake balaa, na wote huwa hawaoneani wivu, huyu anajua yule kaliwa lakini anajiweka kwenye foleni naye atafunwe. Jamaa ni dogo fulani hana hela hata za gesti hukopa, hana yale masix pack, in fact anacho kitambi japo sio kikubwa, pia elimu yake ya form four Tanzania.

Pia sidhani kama ni dushe maana kunao ambao hajawala bado lakini wanamfuata fuata na vijimaneno vya kutaka awatongoze.

Nimekua najiuliza nini haswa huwavutia wanawake wote hawa, kwanza kawatia mimba wanawake kadhaa na wote wanarudi kwake tu. Hata kuna wanawake wengine wenye elimu kawapitia tu..... Sijajua siri nini ya kuwa na bahati kama ya kwake.
Siri ni kuacha kufikiria upuuzi na kuchapa kazi mkuu,
 
Obvious ukiwa mtu wa vichekesho madem weng wanakuzimia. Udhaifu wa wanawake wengi roughly 80% ni kusikia vitu vya kuufurahisha moyo wake na kumpa amani kila akiwaa karibu na wewe. Sasa ikatokea ukawa mtu wa story sana hasa zenye vituko na vimaneno vya kuvunja mbavu basi ujue utawakimbia wewe yani.
Nakumbuka kipindi niko chalii bro wangu tukikaa nae tunapiga story anatuchekesha sana marafiki za sista angu walikuwa wanamiminika home kila weekend wengi waliishia kumegwa na mnyamwezi!
Haya mambo ni below 23, huko chuo kurudi nyuma. Huku mtaani mtacheka weeh halafu mtahitaji PESA
 
Back
Top Bottom