Wanawake huvutiwa na nini kwa wanaume kama huyu jamaa

Jamaa anajua kuyapanga maneno yake. Hakuna kingine zaidi ya hapo.
 
Hahah kwa kweli kamanda, sema pesa sio kwa kila mtu, kuna wanawake wana pesa zao wanachohitaji ni furaha tu na company. Wajasiriamwili ndio wataodemand pesa mda wote maana hawana ujanja wa kuzikamata!
"...she looked inside my pockets then she called a nigga handsome..."

Asikudanganye mtu, demu kwanza anaangalia pesa, ajiridhishe kwenye survival kisha mapenzi baadae, we mwenyewe mkuu unajua wazi kabisa usipokuwa na pesa confidence zinaisha hadi 0% sasa usijidanganye mbona wanawake matajiri wanaliwa na maskini, je ushaona wanawake maskini wanaliwa na maskini kizembe, huyo hana akili
 
Sasa mi mwanamke maskini wa nini? Ni heri niwe kibabilon tu kuliko kutafta headache, mi nadate na wanawake independent tu. Kama sio independent tutaishia njiani. Ujinga wa kumuamini mwanamke na pesa zangu atumie kisha anisaliti sifanyagi sikuhizi. Ni mwendo wa Love in kind tu!
 
Huyo jamaa atakuwa anajua kuwatambua wanawake wageni kwenye mahusiano ni wepesi sana kuwadanganya
 
[emoji23][emoji23][emoji23] 100% Trueeeee
 
Chali wako analeta mapenzi ya tamthilia kwenye kitaa kilichojaa shida na njaa zinazohitaji pesa kuliko maneno matamu na vichekesho.
I miss u baby Mzigua90
 
Mapenzi yana grade,kuna jamaa aliwahi nambia eti kwanini mwanamke akuumize wakati mjini hapa wamejaa,na yeye anachagua tu Leo awe na nani au nani,nilichogundua hapo baadae sana lakini ni kwamba kwenye mademu wake 20 aliyenivutia hata moja.
 
Mrejesho mkuuu jamaa bado anawatomba tomba

Alafu je hao mabinti ni wazuri!!
 
Hahaha
 
Kutomba wanawake wengi siyo sifa, huyo jamaa yako aache upumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…