Hahah kwa kweli kamanda, sema pesa sio kwa kila mtu, kuna wanawake wana pesa zao wanachohitaji ni furaha tu na company. Wajasiriamwili ndio wataodemand pesa mda wote maana hawana ujanja wa kuzikamata!Haya mambo ni below 23, huko chuo kurudi nyuma. Huku mtaani mtacheka weeh halafu mtahitaji PESA
Kwamba marafiki wako wanaishia mtaani kwako!?[emoji2]jamaa ni mkenya, ila anasimulia habar ya mbongo.
"...she looked inside my pockets then she called a nigga handsome..."Hahah kwa kweli kamanda, sema pesa sio kwa kila mtu, kuna wanawake wana pesa zao wanachohitaji ni furaha tu na company. Wajasiriamwili ndio wataodemand pesa mda wote maana hawana ujanja wa kuzikamata!
Sasa mi mwanamke maskini wa nini? Ni heri niwe kibabilon tu kuliko kutafta headache, mi nadate na wanawake independent tu. Kama sio independent tutaishia njiani. Ujinga wa kumuamini mwanamke na pesa zangu atumie kisha anisaliti sifanyagi sikuhizi. Ni mwendo wa Love in kind tu!"...she looked inside my pockets then she called a nigga handsome..."
Asikudanganye mtu, demu kwanza anaangalia pesa, ajiridhishe kwenye survival kisha mapenzi baadae, we mwenyewe mkuu unajua wazi kabisa usipokuwa na pesa confidence zinaisha hadi 0% sasa usijidanganye mbona wanawake matajiri wanaliwa na maskini, je ushaona wanawake maskini wanaliwa na maskini kizembe, huyo hana akili
[emoji23][emoji23][emoji23] 100% TrueeeeeObvious ukiwa mtu wa vichekesho madem weng wanakuzimia. Udhaifu wa wanawake wengi roughly 80% ni kusikia vitu vya kuufurahisha moyo wake na kumpa amani kila akiwaa karibu na wewe. Sasa ikatokea ukawa mtu wa story sana hasa zenye vituko na vimaneno vya kuvunja mbavu basi ujue utawakimbia wewe yani.
Nakumbuka kipindi niko chalii bro wangu tukikaa nae tunapiga story anatuchekesha sana marafiki za sista angu walikuwa wanamiminika home kila weekend wengi waliishia kumegwa na mnyamwezi!
Chali wako analeta mapenzi ya tamthilia kwenye kitaa kilichojaa shida na njaa zinazohitaji pesa kuliko maneno matamu na vichekesho."...she looked inside my pockets then she called a nigga handsome..."
Asikudanganye mtu, demu kwanza anaangalia pesa, ajiridhishe kwenye survival kisha mapenzi baadae, we mwenyewe mkuu unajua wazi kabisa usipokuwa na pesa confidence zinaisha hadi 0% sasa usijidanganye mbona wanawake matajiri wanaliwa na maskini, je ushaona wanawake maskini wanaliwa na maskini kizembe, huyo hana akili
Mrejesho mkuuu jamaa bado anawatomba tombaKuna jemba fulani rafiki yangu huko Tanzania, jamaa huwatafuna wanawake balaa, na wote huwa hawaoneani wivu, huyu anajua yule kaliwa lakini anajiweka kwenye foleni naye atafunwe. Jamaa ni dogo fulani hana hela hata za gesti hukopa, hana yale masix pack, in fact anacho kitambi japo sio kikubwa, pia elimu yake ya form four Tanzania.
Pia sidhani kama ni dushe maana kunao ambao hajawala bado lakini wanamfuata fuata na vijimaneno vya kutaka awatongoze.
Nimekua najiuliza nini haswa huwavutia wanawake wote hawa, kwanza kawatia mimba wanawake kadhaa na wote wanarudi kwake tu. Hata kuna wanawake wengine wenye elimu kawapitia tu..... Sijajua siri nini ya kuwa na bahati kama ya kwake.
HahahaKula housegirls na mama ntilie huhitaji hela wala six packs na wala hawana gharama ndio maana unaona jamaa yako anawala tu kila siku.
HahahaAna nyota ya kimasikini huyo " wala usitamani kuwa kama yeye ".... Majitu mengi yenye sifa kama za huyo Jamaa yako " huwaga yanaona ngono ndio jambo la msingi la kujivunia " ukikaa nao story zao ni sijui fulani nimeshammega " na leo nakwenda kummega fulani ".... yaani ngono ndio dira kwao "..... angalio nawewe usijekutumbukia kwenye huo ujinga