Wanawake huwa hawachoki kuvaa nguo zisizowakaa vizuri na kuhangaika nazo muda wote ?!

Wanawake huwa hawachoki kuvaa nguo zisizowakaa vizuri na kuhangaika nazo muda wote ?!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Katika mambo sijawahi kuyaelewa kwa wanawake ni hili la wanawake wanaovaa nguo zisizowakaa vizuri.
Inakuaje mtu anasikia raha kuvaa nguo isiyomfiti, inayomshughulisha muda wote akiwa ameivaa?!

Nini huwa kinawafanya wanawake wavae sketi fupi halafu waanze kuivuta vuta chini kila mara au wengine wavae nguo ndefu sana zinazoburuza chini kisha wanaziinua kuzishikilia mkononi muda wote??
 
Kizazi cha watoto walio changanyikiwa kwa sbb ya kukosa malezi ya baba.
 
Kuna wengine nimewashangaa sana, wao wamevaa madera/vijora wakawa wanapandisha juu ya magoti mpaka nikaona ile chupi inayoitwa taiti. Hawakunionea aibu wafunike ili nisione chupi zao hizo
 
Ikitangazwa kutembea uchi ni fasheni mpya wanawake watakuwa wa kwanza kufurahia
 
Katika mambo sijawahi kuyaelewa kwa wanawake ni hili la wanawake wanaovaa nguo zisizowakaa vizuri.
Inakuaje mtu anasikia raha kuvaa nguo isiyomfiti, inayomshughulisha muda wote akiwa ameivaa?!

Nini huwa kinawafanya wanawake wavae sketi fupi halafu waanze kuivuta vuta chini kila mara au wengine wavae nguo ndefu sana zinazoburuza chini kisha wanaziinua kuzishikilia mkononi muda wote??
"Wanaume ni wasimamizi wa wanawake"
 
Katika mambo sijawahi kuyaelewa kwa wanawake ni hili la wanawake wanaovaa nguo zisizowakaa vizuri.
Inakuaje mtu anasikia raha kuvaa nguo isiyomfiti, inayomshughulisha muda wote akiwa ameivaa?!

Nini huwa kinawafanya wanawake wavae sketi fupi halafu waanze kuivuta vuta chini kila mara au wengine wavae nguo ndefu sana zinazoburuza chini kisha wanaziinua kuzishikilia mkononi muda wote??
 
Ikitangazwa kutembea uchi ni fasheni mpya wanawake watakuwa wa kwanza kufurahia
Mbona kabla ya wakoloni kututapeli na kutuletea nguo wanawake walikuwa wanavaa vibwaya tu huku matiti yakiwa nje, waacheni waburudishe macho ya wananzengo.
Tanzania bado wanawake wanajisitiri sana ukilinganisha na nchi nyingi duniani.
 
Katika mambo sijawahi kuyaelewa kwa wanawake ni hili la wanawake wanaovaa nguo zisizowakaa vizuri.
Inakuaje mtu anasikia raha kuvaa nguo isiyomfiti, inayomshughulisha muda wote akiwa ameivaa?!

Nini huwa kinawafanya wanawake wavae sketi fupi halafu waanze kuivuta vuta chini kila mara au wengine wavae nguo ndefu sana zinazoburuza chini kisha wanaziinua kuzishikilia mkononi muda wote??
Hawaeleweki,na ukiona unaanza kuwaelewa ujuwe siku zako zinakaribia kwisha hapa duniani..
 
Comfortability ya mwanamke iko katika heka heka 😄😄 hajaumbwa kutulia.
Ndio maana Eva akamuacha mumewe akaenda kusikiliza story za nyoka, yaani full hekaheka
 
Back
Top Bottom