macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mkuu mwanaume kuona chupi ya mwanadada siku hizi siyo deal tena. Enzi za zamani ilikuwa shuleni au chuoni, mwanamke akijue chupi yake imeonekana alikuwa analia wiki nzima. Siku izi ikionekana ndiyo wanasikia furaha.Kuna wengine nimewashangaa sana, wao wamevaa madera/vijora wakawa wanapandisha juu ya magoti mpaka nikaona ile chupi inayoitwa taiti. Hawakunionea aibu wafunike ili nisione chupi zao hizo