macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mkuu mwanaume kuona chupi ya mwanadada siku hizi siyo deal tena. Enzi za zamani ilikuwa shuleni au chuoni, mwanamke akijue chupi yake imeonekana alikuwa analia wiki nzima. Siku izi ikionekana ndiyo wanasikia furaha.Kuna wengine nimewashangaa sana, wao wamevaa madera/vijora wakawa wanapandisha juu ya magoti mpaka nikaona ile chupi inayoitwa taiti. Hawakunionea aibu wafunike ili nisione chupi zao hizo
Women Love Insufficiency.Katika mambo sijawahi kuyaelewa kwa wanawake ni hili la wanawake wanaovaa nguo zisizowakaa vizuri.
Inakuaje mtu anasikia raha kuvaa nguo isiyomfiti, inayomshughulisha muda wote akiwa ameivaa?!
Nini huwa kinawafanya wanawake wavae sketi fupi halafu waanze kuivuta vuta chini kila mara au wengine wavae nguo ndefu sana zinazoburuza chini kisha wanaziinua kuzishikilia mkononi muda wote??
tena wanafunzi wa kiume walishitakiwa kwa walimu na kuadhibiwa vibaya sana kwa kuona chupi za wasichana waliokaa mikao ya kihasarahasara bila kuziba mapaja yao chupi zisionekaneMkuu mwanaume kuona chupi ya mwanadada siku hizi siyo deal tena. Enzi za zamani ilikuwa shuleni au chuoni, mwanamke akijue chupi yake imeonekana alikuwa analia wiki nzima. Siku izi ikionekana ndiyo wanasikia furaha.
Ndiyo raha zao, huoni kama mpo.wewe na yeye tuu hamna kitu kingine cha kuangalia manHalafu?