Sheffer95
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 211
- 515
Kwanza nianze kwa kuwapongeza kwaajili ya siku ya Akina mama wote, pili niwashukuru wanawake wote kwa mioyo yenu ya upendo, uvumilivu, kujali na kila kitu. Ninyi ni mama, dada,wadogo pamoja na wake zetu
Ni hivi huwa mnajisikiaje pale tunapokuwa tumewadanganya na majanga yakatukuta na ikabidi nyinyi mje kutuuguza labda. Mfano unakuta nimekudanganya naenda safari ya kikazi mkoa labda Dodoma, then napata labda ajali labda Arusha au nimefumaniwa huko na kupigwa vibaya na niko katika hali mbaya na unakuja kuchukua simu yangu unakutana na mambo mengi ya kufedhehesha
Hivi ukiwa unaniuguza huwa mioyo mwenu mnajisikiaje au huwa mnatuwazia nini?
Ningependa kufahamu kuhusu hilo tu ahsante🙏🤲
Ni hivi huwa mnajisikiaje pale tunapokuwa tumewadanganya na majanga yakatukuta na ikabidi nyinyi mje kutuuguza labda. Mfano unakuta nimekudanganya naenda safari ya kikazi mkoa labda Dodoma, then napata labda ajali labda Arusha au nimefumaniwa huko na kupigwa vibaya na niko katika hali mbaya na unakuja kuchukua simu yangu unakutana na mambo mengi ya kufedhehesha
Hivi ukiwa unaniuguza huwa mioyo mwenu mnajisikiaje au huwa mnatuwazia nini?
Ningependa kufahamu kuhusu hilo tu ahsante🙏🤲