Jibu ni rahisi sana. Kuridhika kati ya wawili inategemea sana maumbile yao ya siri.
Yakitofautiana sana lazima moja ataumia na kupata michubuko au mwingine kutokujisikia kabisa.
Kuna sababu nyingine nyingi za kisayansi hasa kumhusu mwanamke.
Mungu amewapa wanawake uwezo wa kutambua mwanaume kuwa anafaa au hafai kabla ya tendo.
Ukiona mwanamke anakukataa pamoja ni kujiona umekamilika ujue kakushitukia.