Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hapana hatuwezi kuwa Kama wanamme tutakuwa Kama wanawake imarakwaiyo unataka kusema msipo beba mimba mnaweza kuwa kama wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana hatuwezi kuwa Kama wanamme tutakuwa Kama wanawake imarakwaiyo unataka kusema msipo beba mimba mnaweza kuwa kama wanaume
Zinazotolewa huwa zinaitwajeUlishasikia mimba inatolewa labor?hapa naongelea mimba zinazoenda labor labour
Kijusi.Zinazotolewa huwa zinaitwaje
Ishu ya wanawake kuzeeka mapema au kuchoka, ukileta hoja ya mimba ni very rubbish..njoo na sababu ingne..vinginevyo leta list ya wanawake wasiozaa haWajazeeka.Kijusi.
Wewe mara ya mwisho umepata lini mimba?Hivi mimba mnazijua nyie?
2017Wewe mara ya mwisho umepata lini mimba?
Lady JDIshu ya wanawake kuzeeka mapema au kuchoka, ukileta hoja ya mimba ni very rubbish..njoo na sababu ingne..vinginevyo leta list ya wanawake wasiozaa haWajazeeka.
Ajazeeka au?? Mwngne?? Ili tuone, acha porojo mama...bring facts, mimba sio chanzo cha kuzeeka kwa wanawake, ask upate uelewaLady JD
Niko hapa mumeo nicheki dm nikupe mbeguMimi Ni mwanamke
Duh aiseeHabari wakuu,
Nilikuwa nacheki hapa historia ya Tom Cruise na Ex wake, yaani mpaka now 2023 Tom Cruise anauwezo wa kumuita Ex wake huyo ni mama yake na watu wakaamini kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi jamani hawa mademu huwa wanakimbilia wapi!View attachment 2539018
I can give u a ball. Do u want it?Mimi Ni mwanamke
Nikimwangalia tom cruise ka beat ka mission impossible kanakuja akiliniHabari wakuu,
Nilikuwa nacheki hapa historia ya Tom Cruise na Ex wake, yaani mpaka now 2023 Tom Cruise anauwezo wa kumuita Ex wake huyo ni mama yake na watu wakaamini kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi jamani hawa mademu huwa wanakimbilia wapi!View attachment 2539018