Wanawake iweni makini

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
1/3 wanawake wanamatatizo ya maumivu wakati wa sherehe za muungano. Pia matatizo ya kutopata watoto na uvimbe wa tumbo la uzazi vimeongezeka sana kulinganisha na miaka ya nyuma.

Sijajua lakini tatizo kamili lakini wanawake hutumia madawa mengi sana hata mengine yasiyo kuwa na ubora hasa yale ya uzazi wa mpango na vipodozi.

PIA IWENI MAKINI NA VIJIVAZI PRIVATE UKILINGANISHA NA HALI YA HEWA.

Tusibugie kila kitu.
 
Ni kweli, hata kuchelewa kuanza kupata watoto au kupata watoto wachache sana nayo pia huchangia.

Na akina mama wapende kunyonyesha watoto wao kwa muda mrefu
Kutonyonyesha inaongeza nafasi ya kupata kanza ya matiti
Na akina baba keep sucking kipindi ambacho hamna watoto wa kunyonyesha, naskia inasaidia pia
 

Hahaha, Kongosho ebu nifafanulie hiyo red.
 

Ni kweli kaka wng alipata kitu kinaitwa fallopian tube dilation kulisolve tukashauriwa tulete mtoto otherwise hatazaa tena kwa hiyo nina kamjomba kenu naitwa baba.Anyway yote ya mungu.
 

Nimependa sana ushauri uliotupa wanaume,nitazingatia.
 
na sabuni za kuoshea makemikali hayo mpunguze

kudumbukiza vidonge hususan vya kusafisha K muache

usafi wa eneo husika, na check up muhimu
 
na sabuni za kuoshea makemikali hayo mpunguze

kudumbukiza vidonge hususan vya kusafisha K muache

usafi wa eneo husika, na check up muhimu

Kweli , wanajiremba hadi wanajiharibu.
 
Kuna kaukweli aisee ...
Last month tulimpeleka shemeji yangu kufanyiwa upasuaji wa kivimbe tumboni (fybroid) tukakuta kitoto kidogo cha miaka 13 nacho kina fibroid. Dr alinieleza zamani ugonjwa kama huu ulikuwa unawapata wadada wenye umri wa kuanzia 35 ambao walikuwa hawajazaa. Siku hizi sijui tatizo nini, I think, there is something wrong somewhere!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…