Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
1/3 wanawake wanamatatizo ya maumivu wakati wa sherehe za muungano. Pia matatizo ya kutopata watoto na uvimbe wa tumbo la uzazi vimeongezeka sana kulinganisha na miaka ya nyuma.
Sijajua lakini tatizo kamili lakini wanawake hutumia madawa mengi sana hata mengine yasiyo kuwa na ubora hasa yale ya uzazi wa mpango na vipodozi.
PIA IWENI MAKINI NA VIJIVAZI PRIVATE UKILINGANISHA NA HALI YA HEWA.
Tusibugie kila kitu.
Sijajua lakini tatizo kamili lakini wanawake hutumia madawa mengi sana hata mengine yasiyo kuwa na ubora hasa yale ya uzazi wa mpango na vipodozi.
PIA IWENI MAKINI NA VIJIVAZI PRIVATE UKILINGANISHA NA HALI YA HEWA.
Tusibugie kila kitu.