Wanawake, Jifunzeni kuongea zaidi ya kulalamika

Wanawake, Jifunzeni kuongea zaidi ya kulalamika

Kwaile report ya Jana, ilinibidi tu nijizimishe na bapa kubwa aiseeee..... Maana sio kwa machungu yale aiseeee....[emoji25] [emoji25]
Hatari comrade...kichwa kiliniuma jana aseeh
 
Kulalamika ni tabia ya watanzania wote hadi mkulu

kunasiku nitaileta hiyo mada huku ndani kwa lengo la kuelimishana wote
 
Sasa kama ushajua ndivyo tulivyotengenezwa kwanini msijifunze kutuelewa hivyohivyo tunavyolalamika!! Hivi mbona sasa sisi ndio tunatakiwa tuishi nanyi kwa akili?

[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Leo Josevert kaongea ukweli. Mnaongea sana akina espy.
 
Jamaa yangu naona umeshajichukulia mmoja hapa Jf hongera, ila pole kwa kupata mlalamikaji
 
Hatimaye Serikali imepeleka kikosi cha JWTZ huko Pwani kudhibiti mauaji na kutafuta wauaji.

Kikosi hicho cha JWTZ kina wana jeshi wenye uzoefu mkubwa wa kivita na makomandoo kiasi.

Lengo kuu ni kuleta amani mkoa wa Pwani ktk maeneo hayo ambayo usalama wake umekuwa wa mashaka.

We acha hela ya matumizi ya kutosha weekly or monthly watoto waende shule, mgegedo wa hadhi ya juu, uwe na funguo za getini na mlango mkubwa..... Rudi muda utakao wala sikuulizi ila hakikisha chakula cha jioni saa mbili mpk mbili unusu tumechelewa saa tatu "LAZIMA UWEPO MEZANI"
We mbna inaonekana umekubuu ukakubuka
 
Back
Top Bottom